Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
cheche chafu ni gani Kasinde?Na wewe ni muasisi wa cheche chafuu??
Utanikarangizia one day?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
cheche chafu ni gani Kasinde?Na wewe ni muasisi wa cheche chafuu??
Utanikarangizia one day?
BaridaaKila la kheri babaa...,mchakato mwemaa.
😢😢😢😢😢😢Eehehehhee ndo ushafeli sasa, unashindwaje kusoma alama za nyakati??!
Hiyo siko na utaalamu nayo, mi ni fundi wa kuila tu na si vinginevyoPilau mdogo wake na biriani...
Huyo "Dadii" huyoooo!Aahahahahhahaaa acha kabisa, Dadii akiwa anapika huwa namsumbua sana jikoni hadi anitulize kwanza na kamoja ndo anamalizia kupika, maana huwa situlii.
Mara namuendea, naomba nisaidie kufungua zipu imenishinda nimebanwa...
Mara, nasikia kiu ya madafu, twende tukayatafute...
Mara niimbe na kucheza cheza huku namtekenya... Basi vurugu tuu aahahahahaaa ghafla naona jiko linazimwa halafu shwaaap kamoja tuu, natuliaa na mapishi yanaendelea eeheheheheheheee.
Kasinde P Matata.
Amefaidi katikati ya Mapishi katunukiwa pishi jingine la; Kimoja tu.Zimemfikia...
Dadii amefanyaje tenaaa....!!??
HahahaHabari ya jumamosi wadau.
Niko bongo kwa kitambo tuu, leo mchana niliingia gereji kukagua toyo yangu iko poa kuingia kitaa? Sasa wakati nachokonoa mavitu kwenye boneti nikakwama mahali, nikahangaika weeh mwisho nikasema kwa nini nisimuulize Ticha wangu anikwamue huu umakenika?
Kweli nikamuendea hewani akanielekeza namna na mahali nigusanishe nyaya... Waaaraaa toyo ikawaka.
Nikafurahi nikampigia ticha kumshukuru, halafu nikaendeleza stori akaniambia Kasie unajua niko jikoni napika... Woow nikahamaki, ticha unapika nini? Akasema supageti za beef na veggies, Kasie baadae nna wageni napika akamalizia hivyo na kukata simu.
Daah akanipa wivu, nikaachana na mambo ya toyo nikaingia jikoni, kila kitu kitu kipo, nikatoka nje nikawaambia majirani wanne msipike leo naingia jikoni kwa ajili yenu. (Msiulize majirani wa kike au wa kiume).
Wapi nazi, wapi mazagazaga, wapi mchele... Taadaaa saa moja na nusu usiku msosi tayari. Nikapakua nikawaita jirani wale.... Wamefurahia mapishi ya chukuchuku...
Karibuni nanyi mle kwa macho.
View attachment 1201115
Wali wa kusteam.
View attachment 1201117
Njegere za nazi na mambogamboga (carrots, hoho, biringanya, nyanya chungu,viazi, bamia)
View attachment 1201118
Papai..
View attachment 1201120
Sahani yangu ina nyongeza ya magimbi na mihogo... Wali kidoogoo.
Namshukuru Maulana, majirani baada ya kushiba wakaosha vyombo sasa natupia vitu laini kulainisha koo...
View attachment 1201126
Ticha Jael, asante kwa kunipa hamasa. Am happy for my Saturday. Cheers!!
Kasinde Platinum Matata.
Aahahahahahaaa umenikumbusha Huu wimbo....
We mzee umewatafuna sana wachuchu humu
Duuu hapa wanalala watu au malaika? Ndo bei gan hili mkuu had nalifikisha kanda ya ziwaAchana na Daby kijana mjinga sana huyo... K Vant ndo mpango mzima, hata bibi yenu kashahamiamo...
View attachment 1201171
Kuhusu mambo yetu yale... nilikuita PM ukachomoa kunipa mawasiliano wakati maandalizi yalikuwa mukide...
View attachment 1201174