Mkuu bora niimbiwe kwanza halaf ndo nijibu mapigo, hapa ukianza mara unajibiwa kwa kibao "utajiju, mtu mzima ovyoo", halaf inakuja kuwa habari ya kubadilisha ID
Hii nimeimbiwa mimi au natakiwa kushuhudia kama lawyer tu? Fafanua MJ1. I am lawyer with benefit.
Hapa mtaani wananiita Lonado Di kaprio kwa maflowers. ukipendwa na mimi una bahati sana gaijin, jaribu tu utasibitisha mwenyeweBoss itabidi unisam'he .........maana sikujua kama hata Klorokwini kawa mzee wa maflowers namna hii!
Hapa mtaani wananiita Lonado Di kaprio kwa maflowers. ukipendwa na mimi una bahati sana gaijin, jaribu tu utasibitisha mwenyewe
Nikifafanua Mbu hatutomuona JF wiki 2 zijazo au zaidi. Bora tuangalie mwisho wa hii sredi kwanza.Lol Lawyer with benefit hah...........fafanua tafadhali
Haha...halafu umeona jinsi Gaijin alivyojitetea mwishoni kuwa hajamlenga mtu..lolhaya masizi kweli yameua cv lol.........
Ankal banaa kwa maujiko sikuweziHapa mtaani wananiita Lonado Di kaprio kwa maflowers. ukipendwa na mimi una bahati sana gaijin, jaribu tu utasibitisha mwenyewe
Haha...halafu umeona jinsi Gaijin alivyojitetea mwishoni kuwa hajamlenga mtu..lol
Haiwezi kuisha hivi ni haki kweli ulivyonifanyia vile mtoto wa mwenzio...lol..moyo wangu sio wa chuma eheeehalafu wewe kesi yetu haijaisha?:lol:
sasa imagine MJ1 na pori wapi na wapi, kwani ye tumbiri??swahiba MTM, mchina mzuka umepanda. Dah! wainii wainii wainii. hao ndio chinese soulmates bana. sredi zao wanaanzishia porini.
sasa imagine MJ1 na pori wapi na wapi, kwani ye tumbiri??
that's why bongo love is always the best... umeshawahi kuimagine unamuimbia gaijin wani wanii waniyeeeeeeeeeeee??
duh?
hiyo ndio JF...Halaf hapa kuna kitu nimenotice. Yaani Mbu kapotea ghafla na MJ1 haonekani, mara The Boss kapotea ghafla na Gaijin haonekani na kuna kila dalili The Finest atapotea na ghafla Chauro hatoonekana.
Hii sredi hii
Halaf hapa kuna kitu nimenotice. Yaani Mbu kapotea ghafla na MJ1 haonekani, mara The Boss kapotea ghafla na Gaijin haonekani na kuna kila dalili The Finest atapotea na ghafla Chauro hatoonekana.
Hii sredi hii
Nikifafanua Mbu hatutomuona JF wiki 2 zijazo au zaidi. Bora tuangalie mwisho wa hii sredi kwanza.
....Nikifafanua Mbu hatutomuona JF wiki 2 zijazo au zaidi. Bora tuangalie mwisho wa hii sredi kwanza.
Mh kama ufafanuzi wako utapelekea kumpoteza Mbu wangu bora uendelee kumyuti shemeji! Akipotea yeye na mie utanzika ajue afu uhukumiwe kuua bila kukusudia.
Mh we bana we mie nlipotelea jikoni kutengeneza chapati na nyama maana ndo fav ya Mr. Mbu! Na kwa maudhui ya kila mtu na mtuwe! Ni full mahaba ati! Dada wa kazi leo ana- off.Halaf hapa kuna kitu nimenotice. Yaani Mbu kapotea ghafla na MJ1 haonekani, mara The Boss kapotea ghafla na Gaijin haonekani na kuna kila dalili The Finest atapotea na ghafla Chauro hatoonekana.
Hii sredi hii