Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,752
- 7,861
Mkuu bora niimbiwe kwanza halaf ndo nijibu mapigo, hapa ukianza mara unajibiwa kwa kibao "utajiju, mtu mzima ovyoo", halaf inakuja kuwa habari ya kubadilisha ID
HAHAHAHAHAHAH!....wewe umedata bana...hahahaha, kubadilisha iud tena? looooooool!
no way bana, mimi hata nikipigwa kibuti hadharani naendelea na u mbu wangu huu huu!
Hii nimeimbiwa mimi au natakiwa kushuhudia kama lawyer tu? Fafanua MJ1. I am lawyer with benefit.
...lol,...bahati ya mwenzio usiilalie mlango wazi wewe...
Last edited by a moderator: