This is for You......

This is for You......

Dah!! Ila haya maneno kama ya ukweli fulani ndani yake "I guess i might be wishin on someone else's star"

hizi imani zipo sana pwani ,tanga tanga hivi...
nimeshangaa kumbe mpaka Brian White ameimba duh...
 
Dah!! Ila haya maneno kama ya ukweli fulani ndani yake "I guess i might be wishin on someone else's star"
we acha tu........... yani mie kuna wakati huwa nahisi kama ndio hivyo tena... someone else's star!!!

gademu!!
 
its natural aisee
the grass looks greener on the other side of the fence
Umenikumbusha ile mtu kakufanyia mabaya lakini unaona siku zinavyozidi kwenda anazidi kubarikiwa unakuwa unajiuliza maswali mengi na baadae kukumbuka usemi unaosema "Mungu anatoa riziki kwa Wote"
 
funny unaweza kukuta kuna mtu anajiuliza 'why can't i be lucky like MTM.....
Boss haya mambo acha tu, i must admit wengi wetu ndio huwa tunajiuliza hivyo why cant i be lucky like Boss or MTM halafu kadri siku zinavyozidi kwenda unaona things are gettin worse and worse na yule ambaye you want to be lucky like him anazidi kuambaa tu kama vile ana ahadi na Mungu...gademu this life
 
Back
Top Bottom