secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 2,998
- 4,948
Ni kujikaza tu hakuna namna nyingine.Nii hu
zuni mkuu acha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kujikaza tu hakuna namna nyingine.Nii hu
zuni mkuu acha
Sometimes hata ukionyesha jitihada inakunyooshaDunia unapojiongeza inakuwa fair ila itakukomesha pale unapotegemea mazuri pasipo kuonesha jitihada.
Yeah, ila tusichoke kupambana kwa maana maisha bila changamoto siyo maisha.Sometimes hata ukionyesha jitihada inakunyoosha
Apambane ndio maisha hasa ukijikuta upo kwenye nchi masikini ujue kazi unayo mara 10 zaidi ya wale waliopo kwenye nchi zilizoendelea..Nimeitazama hii picha nimejikuta naumia sana basi tu!
View attachment 3243875
Aya pambana!!!Yeah, ila tusichoke kupambana kwa maana maisha bila changamoto siyo maisha.
Asante sana brazaPole mkuu
Kabisa kabisa mkuu, Hali sio shwari hata kidogo Ila ni kujikazaNi kujikaza tu hakuna namna nyingine.
Nafanya hivyo Kila kukicha.Aya pambana!!!
Poa brazaAsante sana braza
FactKabisa kabisa mkuu, Hali sio shwari hata kidogo Ila ni kujikaza
👍Poa braza
Eeh lazima ufanye hivyo maana kipindi chenu kile mpira ulikuwa hauna hela kabisa tofauti na sasa 🤣🤣🤣Nafanya hivyo Kila kukicha.
For sureDah! So sad tupewe ajira/kazi
Warejee like suala la Maanadamo ya Wanafunzi wa Vyuo Vikuu kule nchini Bangladesh Mwaka jana wa 2024 na kuundoa madarakani Utawala wa nchi hiyo ambao ulikuwa unafanya upendeleo wa ajira kwa familia za Waasi na Wapigania Uhuru wa nchi hiyo.Lissu akiwaambia muandamane mnamuona msenge
Mkuu....!!Eeh lazima ufanye hivyo maana kipindi chenu kile mpira ulikuwa hauna hela kabisa tofauti na sasa 🤣🤣🤣
Aah,maybe...................Mkuu....!!
kijana kwa hasira akajimwagia petrol na kujipiga kiberiti, balaa likaanzia hapo.Hilo ni jambo la kawaida hususani kwenye hizi nchi zetu za kiAfrika.
Kwa nchi zingine za wenzetu kwa kiasi fulani Tawala za huko zimejitahidi kuweka Mazingira fulani wezeshi ya kuweza kuwapunguzia maumivu Watu wasio na kazi au wasio na ajira hususani Vijana.
Ipo mipango na miradi mbalimbali ya kuwawezesha vijana kujikimu kimaisha,
Kwa Afrika hali ipo tofaufi kabisa, janga la Ukosefu wa Ajira linawafanya Waathirika kupata maumivu ya moja kwa moja bila ya msaada kutoka kwa Serikali, rejea kisa Cha Kuibuka kwa Machafuko katika nchi za kiArab (Arab Uprising) yaliyotokea miaka ya 2011-2015 katika nchi za Tunisia, Libya, Misri, n.k. Trigger iliyosababisha janga hili lote ni Ukosefu wa Ajira, Utawala wa Tunisia ndio ulioanza kufungua milango ya vurugu kwa kubomoa banda la biashara la Kijana Mchuuzi wa biashara ndogo ndogo (Machinga)