Ally maganga
JF-Expert Member
- Jan 18, 2014
- 1,433
- 913
1.Timu pekee Tanzania iliyoingia fainal michuano ya kimataifa CAF
2.Timu pekee kwa Tanzania iliyomtoa bingwa mtetezi 2003 kwenye michuano
ya kimataifa
3.Timu pekee kwa Tanzania iliyotumia zaidi ya 1.5b kwa usajiri Tanzania.
Hizo 600m kalipeni kodi za jengo kisha mje kujifananisha na Mnyama.
2.Timu pekee kwa Tanzania iliyomtoa bingwa mtetezi 2003 kwenye michuano
ya kimataifa
3.Timu pekee kwa Tanzania iliyotumia zaidi ya 1.5b kwa usajiri Tanzania.
Hizo 600m kalipeni kodi za jengo kisha mje kujifananisha na Mnyama.