This is Simba

This is Simba

Wazee wa kuonga leo wapo uwanjani!
600m zitaishia kununua mechi tu badala ya kulipa madeni
 
Wazee wa kuonga leo wapo uwanjani!
600m zitaishia kununua mechi tu badala ya kulipa madeni
Manara ndivyo anawadanganya mbumbumbu FC...Mara swaumu wanatoa wapi hela ya kuhonga...wanaume wenye jinsia ya kike tabu sana
 
Yanataka points za mezani!

pumbavu sana mashabiki+viongozi wa Yanga
 
Timu mbili bora duniani zipo uwanjani Leo.
Namaanisha Simba wa Tanzania na Barcelona ya Spain.
 
1.Timu pekee Tanzania iliyoingia fainal michuano ya kimataifa CAF

2.Timu pekee kwa Tanzania iliyomtoa bingwa mtetezi 2003 kwenye michuano
ya kimataifa

3.Timu pekee kwa Tanzania iliyotumia zaidi ya 1.5b kwa usajiri Tanzania.

Hizo 600m kalipeni kodi za jengo kisha mje kujifananisha na Mnyama.
Timu pekee ligi kuu iliyokimbia kipindi cha pili all sitokee uwanjani kukwepa kichapo
 
Back
Top Bottom