Mkuu Kuna kitu Sky kakiona Kwa Babu Asprin tena Mabinti wengi wanatamani na wanammendea wampate Coz mababu wanajua Kujali,pia huwa Wanachelewa kufika Mlimani,sifa hiyo imewafanya Wadada kama Sakayo,numbisa,Inna,Mzigua 90,Valentine na Wwngine Kumtamani babu "awalee"Mabinti kwa kupenda vizeeee.......by the way hongera zake
AiseeeMkuu Kuna kitu Sky kakiona Kwa Babu Asprin tena Mabinti wengi wanatamani na wanammendea wampate Coz mababu wanajua Kujali,pia huwa Wanachelewa kufika Mlimani,sifa hiyo imewafanya Wadada kama Sakayo,numbisa,Inna,Mzigua 90,Valentine na Wwngine Kumtamani babu "awalee"
Sister nakutaka kimapenziNajiuliza mtu anapata wapi muda wa kuwaza, kung'amua na kuona inafaa kuleta uzi wa namna hii..rubbish
Yani we jamaa umekuwa sukari ya binti zetu, sijui nioge maji ya wapi niwe kama wewe mkuu.Hahaha we jamaa bhana...
Huoni kama nawekewa uzibe wa kusarandia vimchepuko?
Hahaaa unatafuta vita eeehSister nakutaka kimapenzi
Unaonekana ulizaliwa kwa njia isiyo rasmi na ivo si ajabu umejaza haja kubwa kichwani..kukujib ni kinyaa.. filz de pute!!Sister nakutaka kimapenzi
Naona unajisahaulisha kama mjukuu mchumba ake ni babu.Mkuu Kuna kitu Sky kakiona Kwa Babu Asprin tena Mabinti wengi wanatamani na wanammendea wampate Coz mababu wanajua Kujali,pia huwa Wanachelewa kufika Mlimani,sifa hiyo imewafanya Wadada kama Sakayo,numbisa,Inna,Mzigua 90,Valentine na Wwngine Kumtamani babu "awalee"
Mwambie aangalie Jukwaa kabla ya povuPole sana.
Vumilia tu, yatapita.
I love you too grandie...Kwa kusifiwa huku naona leo atashinda kaunta....sijui hata kama kazi zitafanyika leo
I love you babu....happy Valentine day Babu Aspirin [emoji8] [emoji8]
Unaonaje ukinisaidia? Nikimwambia mimi atazidi kutoa povuMwambie aangalie Jukwaa kabla ya povu
Doh pole sana kiongozi. Kama anakuletea utata niambie nikuunganishe kwa mjukuu wangu Mzigua90