khaaa, sio mchezo kazi hadi maliwatoni, Loh.
Huo lazima utakuwa ulevi wa JF.
hahahaaaa, nimekumbuka juzkati shemeji yako nilikua nachat nae kwa simu, ghafla akatuma msg moja yenye akili sana, si nikajisahau nikijua niko JF, ghafla nikamwambia 'NIMEKUGONGEA SENKSI, KATHIBITISHE!!!', hahahaaaaaa JF bana.Huo lazima utakuwa ulevi wa JF.
Thanks a lot, umenikumbusha wimbo unaitwa FOR U I WILL.........
hahahaaaa, nimekumbuka juzkati shemeji yako nilikua nachat nae kwa simu, ghafla akatuma msg moja yenye akili sana, si nikajisahau nikijua niko JF, ghafla nikamwambia 'NIMEKUGONGEA SENKSI, KATHIBITISHE!!!', hahahaaaaaa JF bana.
hahahaaaaa,hahaa...GP you are addicted
hahaa...GP you are addicted
hahahaaaaa,
wengine bila jf hakuna linalofanyika kama vile tunaumwa, sometimes hata lanchi tunajisahau.
Mpwa umenivunjia mbavu zangu. Hizo zinanitokea sana hizo. Senksi kwa sms sana. Geoff ndio kiboko yake. Kila sms ukitaja taska unakula SENKSI.
tukutuku lilikosa breki likapitiliza kwenye kontena la chuichui mabaunsa wakampa adhabu amalize kreti 3 peke yake, yuko na dripu za maji anaflashi chuichui mwilini, si nchezo tukutuku lilikosa breki za mbele!.Haaaaaaaaaaa! jamani jamani Goeff!!! Hivi aliachwa kwenye fiesta nini na hawa akina Nguli maana naona jiiiiiiiiiiiiiiiii!!!!!
tukutuku lilikosa breki likapitiliza kwenye kontena la chuichui mabaunsa wakampa adhabu amalize kreti 3 peke yake, yuko na dripu za maji anaflashi chuichui mwilini, si nchezo tukutuku lilikosa breki za mbele!.
hahahaaaa, nimekumbuka juzkati shemeji yako nilikua nachat nae kwa simu, ghafla akatuma msg moja yenye akili sana, si nikajisahau nikijua niko JF, ghafla nikamwambia 'NIMEKUGONGEA SENKSI, KATHIBITISHE!!!', hahahaaaaaa JF bana.
tukutuku lilikosa breki likapitiliza kwenye kontena la chuichui mabaunsa wakampa adhabu amalize kreti 3 peke yake, yuko na dripu za maji anaflashi chuichui mwilini, si nchezo tukutuku lilikosa breki za mbele!.