This is the level of dedication we expect from you!!

This is the level of dedication we expect from you!!

NGULI

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2008
Posts
4,801
Reaction score
643
Message from the Employer
Thisis the level of dedication we expect from you!!



 

Attachments

khaaa, sio mchezo kazi hadi maliwatoni, Loh.
 
kama mwisho wa mwezi analipa ndeeeeeeefu poa!! asitegemee eti mi njidediketi afu yeye shati la mikono mifupi!! it will never happen...

tukienda sawa haina kwere popote mi nawajibika hata nikiwa nkusbiria Nguli unywe maji yako ya kilimanjaro.....
 
Huo lazima utakuwa ulevi wa JF.

mmh nipo pbaya lakini huko sijafikia kutokana na kuwa siwezi kulibeba hili likitendea kazimpaka pale...haliko userfriendly
 
hata nikiwa nkusbiria nguli unywe maji yako ya kilimanjaro.....

Thanks a lot, umenikumbusha wimbo unaitwa FOR U I WILL.........

 
Huo lazima utakuwa ulevi wa JF.
hahahaaaa, nimekumbuka juzkati shemeji yako nilikua nachat nae kwa simu, ghafla akatuma msg moja yenye akili sana, si nikajisahau nikijua niko JF, ghafla nikamwambia 'NIMEKUGONGEA SENKSI, KATHIBITISHE!!!', hahahaaaaaa JF bana.
 
Thanks a lot, umenikumbusha wimbo unaitwa FOR U I WILL.........

anything man!!! after all hakuna ubaya maana huku nawajibika huku najilindia changu
 
hahahaaaa, nimekumbuka juzkati shemeji yako nilikua nachat nae kwa simu, ghafla akatuma msg moja yenye akili sana, si nikajisahau nikijua niko JF, ghafla nikamwambia 'NIMEKUGONGEA SENKSI, KATHIBITISHE!!!', hahahaaaaaa JF bana.

hahaa...GP you are addicted
 
hahaa...GP you are addicted

Mpwa umenivunjia mbavu zangu. Hizo zinanitokea sana hizo. Senksi kwa sms sana. Geoff ndio kiboko yake. Kila sms ukitaja taska unakula SENKSI.
 
Mpwa umenivunjia mbavu zangu. Hizo zinanitokea sana hizo. Senksi kwa sms sana. Geoff ndio kiboko yake. Kila sms ukitaja taska unakula SENKSI.

Haaaaaaaaaaa! jamani jamani Goeff!!! Hivi aliachwa kwenye fiesta nini na hawa akina Nguli maana naona jiiiiiiiiiiiiiiiii!!!!!
 
Haaaaaaaaaaa! jamani jamani Goeff!!! Hivi aliachwa kwenye fiesta nini na hawa akina Nguli maana naona jiiiiiiiiiiiiiiiii!!!!!
tukutuku lilikosa breki likapitiliza kwenye kontena la chuichui mabaunsa wakampa adhabu amalize kreti 3 peke yake, yuko na dripu za maji anaflashi chuichui mwilini, si nchezo tukutuku lilikosa breki za mbele!.
 
tukutuku lilikosa breki likapitiliza kwenye kontena la chuichui mabaunsa wakampa adhabu amalize kreti 3 peke yake, yuko na dripu za maji anaflashi chuichui mwilini, si nchezo tukutuku lilikosa breki za mbele!.

Hahaha! Bwashee hapohapo akaunganisha na vekesheni. Kuchanganya bia na valuu sio kitu cha kusimuliwa ukakielewa vema.
 
hahahaaaa, nimekumbuka juzkati shemeji yako nilikua nachat nae kwa simu, ghafla akatuma msg moja yenye akili sana, si nikajisahau nikijua niko JF, ghafla nikamwambia 'NIMEKUGONGEA SENKSI, KATHIBITISHE!!!', hahahaaaaaa JF bana.

Mkuu you made my day,nimekugongea SENKS KATHIBITISHE.
 
tukutuku lilikosa breki likapitiliza kwenye kontena la chuichui mabaunsa wakampa adhabu amalize kreti 3 peke yake, yuko na dripu za maji anaflashi chuichui mwilini, si nchezo tukutuku lilikosa breki za mbele!.

Tunajua halina breki na huwa lina simamishwa na ukuta kwa kuugonga sema lilikosa ukuta likavamia watu.
 
anything man!!! after all hakuna ubaya maana huku nawajibika huku najilindia changu

Sina cha kumlipa MAXENCE namuombea maisha marefu kanipa marafiki/WAPWA na sasa naona my heart will soon beat at the higher rate.
 
Back
Top Bottom