Pundit
JF-Expert Member
- Feb 4, 2007
- 3,733
- 141
Naomba niseme/niulize haya;
kwanza,je hivi imeshathibitika kuwa mtoa mada ni mwanafunzi wa UDSM?Naona ni kama wachangiaji wameshaconclude hivyo!Je itakuwaje kama mleta mada ni mfanyakazi wa hapo chuo,au ni mtoto/ndugu wa mfanyakaz au akawa ni mtu alyesimuliwa matatizo hayo na mwanachuo.Mi nadhani haya pia yanawezekana,tusikazanie tu kuwa mleta hoja ni mwanachuo mpaka hapo utakapopatkana uhakika.
Mwaky,
I hope huyu si mwanafunzi bali ni mtu wa karibu tu hapo chuoni.
Post yangu ya kwanza nilisema hivi
Huyu ni mwanafunzi wa Chuo Kikuu anaandika hivi? Kama ni hivyo tuna matatizo mengi makubwa zaidi ya yaliyotajwa hapo.
Maendelezo yalikuja baada ya watu kuuliza kwa nini nimesema hivyo, kwa hiyo katika kuelezea ndiyo tukaingia huko kwenye kusema kwamba kama huyu ni mwanafunzi basi kuna tatizo lingine kubwa
Pili,kama kwel ni mwanachuo.Hv itakuwa sahihi kwel kitaalamu kugeneralize kuwa wanachuo wa udsm wapo hivyo just kwa kurefer kitu kilichofanywa na mmoja wao(only)!Ni kvp ntaweza kusema kuwa yeye n mfano halisi wa wengne?Hili nadhani si sawa,au ndo ule usemi wa samak mmoja akioza?.
Tatizo siyo kwamba tuna generalize kwamba mwanachuo mmoja akiwa hivyo wote wako hivyo (ingawa kuna wachangiaji wengi tu wanaopajua UDSM vizuri kuliko mimi wameonyesha kuchangia hivyo).Tatizo ni kwamba mwanafunzi yeyote wa Chuo Kikuu hatakiwi kuandika kama hivyo, kwamba the bare minimum standards za kuandika kwa mwanafunzi wa Chuo Kikuu zinatakiwa ziwe waaaay above that.
Nikiangalia tena ile post naona inawezekana kuna masuala mengine mazito zaidi ya elimu na kujieleza peke yake, inawezekana mtu ana dyslexia na huko nyumbani hatufuatilii mambo kama hayo, au inawezekana mtu ndiyo kwanza anaijua QWERTY, au kulikuwa na msururu nyuma unamsubiri amalize kutumia computer.Kwa sababu hizo typo si mchezo.Sasa kwangu mimi if you wanna do something do it nicely or don't do it at all.
Tatu,mi nadhani mleta hoja alikuwa na nia ya kuleta taarifa/kupasha habari na pia kupata mchango wa watu wengne wanalionaje,sidhani kama alikuwa anatakiwa kuandaa kama hotuba!Ilikuwa ni suala la kuandka kwa namna ambayo anaona yeye inafaa na itaeleweka.Pia humu JF kuna watu mchanganyko hvyo cdhan kama kuna std mtu anatakiwa afikie ktk kuandka
Sikutaka aandae hotuba ya kusomwa United Nations na rais, nilitaka aamue anataka kuandika kiswahili au kiingereza, au hata kama anachanganya lugha, sawa, tunachanganya wote hapa, achanganye vizuri basi, sio mtu anachanganya kwa mikogo halafu vitu redundant, hamna form, typos kibao yaani kitu hakijakaa sawa unaweza hata usielewe anasema nini.
Wengi tunafikiri kinachosemwa na kinavyosemwa ni vitu viwili tofauti wakati ukweli wa mambo ni kuwa kinavyosemwa ni sehemu ya kinachosemwa.
The irony is, I recognized the cry for better education and better funds in the poor language, and pointed that out.Sasa watu badala ya kuelewa hilo na kushughulikia swala muhimu, ambalo ni kuchangia jinsi gani tutatatua tatizo mama la elimu na tatizo linalojitokeza hapa immediately la resources, wananion mimi kama vile niko katika process ya "blaming the victim"
Far from it, I am not trying to be an aristocratic Sadduccee, I am indicting the Tanzanian educational system and frankly the complacency displayed here is nothing funny, to the contrary some of the enabling comments and basement bottom wholesale nonchalance is simply shocking.
Last edited: