kalou
JF-Expert Member
- Aug 22, 2009
- 4,975
- 3,829
Why so desperate?
Baba mwenye nyumba anataka kodi yake...!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Why so desperate?
Si ajikune hata na brashi?
Sipendi kuwa desperate mimi! Labda kama tunaongelea oxygen.
dar express tatu na fuso naneHahaha. Huyu anashiba bondo. Usimtanie! Aje na coaster ama noah itatosha?
ahahaaa huwa mnatulipia kodi?Baba mwenye nyumba anataka kodi yake...!
Aliyekwambia mzabzab anahitaji mchumba nani..!?? yeye akigegeda tu kwisha habari ...
ohooo she is finished yoo!mhm wewe unanijua ila ngoja nijaribu she myt be the one
muda ndo huu anataka sasa hiviDuuu pole sana lakini kila kitu kina muda wake usijali.
Asante dada yangu,ila umri umeenda sana,nakaribia menopauseJenu hebu relax kwanza mamii!
mapenzi hayavutwi na kamba hivo
kuwa na umri mkubwa(kwa mujibu wako)kuachwa na mpenzi hakukupi sababu ya wewe kujizira kiasi hiki mamii!
sijasema huwezi kupata mpenzi humu,lakini hata aliye na nia ya kweli kwa style hii unamfukuza!
watakufanya tambara la deki tu wakuache!
jipe muda!get a sip kwanza!LOVE WILL COME ON UR WAY!
huwa hatutafuti wanaume kwa nguvu hivi mamii!
huwezi kupata mwanaume kwa collective strategy kiasi hiki!
moyo na mwili wako sio SANDAKALAWE mamii,kiasi cha mwenye kupata apate!AU CHA KUOKOTA SI CHA KUIBA!
please!
muda ndo huu anataka sasa hivi
sasa assume hukupata utajiua ama?Sina tena muda aw kusubiri
kamata mwanaume yoyote bakaAsante dada yangu,ila umri umeenda sana,nakaribia menopause
mhm wewe unanijua ila ngoja nijaribu she myt be the one
kamata mwanaume yoyote baka
Mie hapo kwenye kizungu ndo mnaniachaga njiapanda, ..
Baba mwenye nyumba anataka kodi yake...!
tulia wewe sara alizaa mtoto na miaka mingapi? mtumaini Mungu nae atafanya jambo katika maisha yako. OMBA KWA JINA LA YESU MUNGU NI MWAMINIFUSamahani anti
Sitaki kuamini kuwa yuko serious, nafikiri anachangamsha jamv tu!
dar express tatu na fuso nane