AMINATA 9
JF-Expert Member
- Aug 6, 2011
- 2,120
- 642
ila huwez jua jamani mama yenu alikua anateseka nn ucku mana mchana mulikua mwamuona anacheka na nyie tu ila ucku hujui alikua anapokea kichapo kiasi gani ............sema alikua anaficha sura ili asubui hata aweze kuangaliana na majirani
mm ni mwanamke believe me kuna kitu beyond that thing just take ur time think then go an talk to her
na kwann baba yenu haongelei mabaya ya mkewe wala nn ina mana anajua kilicho mtoa mkewe kwake believe or not kuna kitu nyuma ya pazia am tellin u
tena ktk hali hiyo na mama yako kutoroka baba akiwa kazini ina mana baba yako anauwezo so amma yenu hajakimbia shida (njaa) bali kakimbia mateso kutoka kwa baba yako
tena umenipa uchungu mnoooooo unavosema haumfeel mama yako .......kwanza mungu akusamehe mana hujui ulitendalo na pili usiingilie magomvi ya watu wazima ww hata cku moja so talk to ur momy tena haraka iwezekanavyo na umsihi kama mwanao akueleze kilichomsibu believe me akikuambia waweza hata utamani kulifukua kaburi la babako na kumtia mboko kwa kwenda kia,
mwisho naomba roho mtakatifu akuongoze mana kwa akili zako nilivokusoma huwezi kumface maza ako so u need help from our almighty GOD na kama ww ni muislamu basi rehema na mtume wetu(s.a.w) ikawe nawe wakati wamfata maza ako ok
ameeeeeeeeeeen
mm ni mwanamke believe me kuna kitu beyond that thing just take ur time think then go an talk to her
na kwann baba yenu haongelei mabaya ya mkewe wala nn ina mana anajua kilicho mtoa mkewe kwake believe or not kuna kitu nyuma ya pazia am tellin u
tena ktk hali hiyo na mama yako kutoroka baba akiwa kazini ina mana baba yako anauwezo so amma yenu hajakimbia shida (njaa) bali kakimbia mateso kutoka kwa baba yako
tena umenipa uchungu mnoooooo unavosema haumfeel mama yako .......kwanza mungu akusamehe mana hujui ulitendalo na pili usiingilie magomvi ya watu wazima ww hata cku moja so talk to ur momy tena haraka iwezekanavyo na umsihi kama mwanao akueleze kilichomsibu believe me akikuambia waweza hata utamani kulifukua kaburi la babako na kumtia mboko kwa kwenda kia,
mwisho naomba roho mtakatifu akuongoze mana kwa akili zako nilivokusoma huwezi kumface maza ako so u need help from our almighty GOD na kama ww ni muislamu basi rehema na mtume wetu(s.a.w) ikawe nawe wakati wamfata maza ako ok
ameeeeeeeeeeen