Ulitakaa avaeje? , mbona hapo kavaa kisheria, ama unadhani uislam ni kanzu kama ilivyojengeka kwa watu kadhaa, uiislam si kuvaa kanzu, kanzu ni vazi tamaduni la Waarabu. Unaweza vaa vyovyote ila nguo ya chini isivuke mapaja kama vijana wa dar siku hizisema jamaa sijui uislam huwa wanauchukuliaje.
ona jamaa alivyovaa,utadhani kaenda kutambulishwa kijiweni.
Basi sawa mkuu.Ulitakaa avaeje? , mbona hapo kavaa kisheria, ama unadhani uislam ni kanzu kama ilivyojengeka kwa watu kadhaa, uiislam si kuvaa kanzu, kanzu ni vazi tamaduni la Waarabu. Unaweza vaa vyovyote ila nguo ya chini isivuke mapaja kama vijana wa dar siku hizi
Ukumbuke ni kutoka MorocoKumbe alibadili kwasababu ya Mbunye
Atakuja jutia vibaya sana huyuKumbe alibadili kwasababu ya Mbunye
Hata angetoka Saudi Arabia, Mtu hapaswi kubadilisha dini kwasababu ya Mwanamke...anapaswa abadilishe kwa kuielewa na kuipenda mwenyewe.ukumbuke ni kutoka moroco