Thomas Partey: Nilibadili dini kutoka Ukristo kuwa Muislamu kwa sababu ya mpenzi wangu

Thomas Partey: Nilibadili dini kutoka Ukristo kuwa Muislamu kwa sababu ya mpenzi wangu

Hata angetoka Saudi Arabia, Mtu hapaswi kubadilisha dini kwasababu ya Mwanamke...anapaswa abadilishe kwa kuielewa na kuipenda mwenyewe.
Ataiyelewa tu na ataipenda kwa asilim kwa njia yoyote baadae atafundishwa na kuielewa
 
Hata angetoka Saudi Arabia, Mtu hapaswi kubadilisha dini kwasababu ya Mwanamke...anapaswa abadilishe kwa kuielewa na kuipenda mwenyewe.
Punguzeni mifumo dume ndomana mnaua muda wote badala yakufikiri

Nammisi ngwair mwanamume kwa demu ni sawa na mfupa kwa fisi
 
sema jamaa sijui uislam huwa wanauchukuliaje.

ona jamaa alivyovaa,utadhani kaenda kutambulishwa kijiweni.
Kwanza haoni tofauti ya uislam na ukristo huyu anajielewa sasa?
 
Hapo ndipo atapata muda wa kuisoma na kuujua usahihi.
Kifuatacho hapo ni darasa tu
Wanaobadili kwwa namna hii, wengi hawaingii darasani, hawana mpangobwa kuijua dini yenyewe vema, labda ampate mtu ambae dini imemkaa sawa amuelekeze njia za kupata elimu nzuri.

Ila hawa wa dini jina ni ngumu saana, na wengi wanapatana hivyo hivho dini jina.
 
Shehe Thomas Partey karibu kwenye chama letu la pilau.
 
Ataiyelewa tu na ataipenda kwa asilim kwa njia yoyote baadae atafundishwa na kuielewa
Namkumbuka jamaa yangu mmoja alisilimu kwa ajili ya kumuoa binti mmoja hivi. Waliporudi Mwanza kutoka huko Dsm nyumbani kwa wazazi wa mwanamke alipokwenda kuolea, jamaa akaendelea kwenda kanisani kama kawaida.
 
Project nzuri sana hii kwenye ule mpango wa vatican kuichukua dini yao upya.
IMG_20220419_163155.jpg
 
Hata angetoka Saudi Arabia, Mtu hapaswi kubadilisha dini kwasababu ya Mwanamke...anapaswa abadilishe kwa kuielewa na kuipenda mwenyewe.
Sio kweli. Mtu anaruhusiwa kubadili dini kwa ajili ya mwanamke akhy
 
Hahaha,islam dini inayokuwa kwa kasi duniani:

Moja ya dini mbovu kuwahi kutokea duniani:
Waislamu hawana matatizo(victims),bali islam doctrine ndio dubwana:


Note's & references: books;

LEAVING ISLAM by ibn warraq,

UNDESTANDING MUHHAMAD by alisina,


INFIDEL by ayaan hirsi:
 
Wanaume wengi wanaingia kwenye uislamu ni Kwa ajili ya wanawake
 
Wanaume wengi wanaingia kwenye uislamu ni Kwa ajili ya wanawake

Huo ni ukweli hata mimi naupenda sana mfumo dume wa uislam.

Sheria za ndoa na mirathi ya kiislam imembeba sana mwanaume..

Mwanamke wa kiislam ngumu sana kumletea ujeuri mume wake. Sabab ndoa imembana mwanamke na kumbeba mwanaume.

Pia Mwanamke wa kiislam ngumu sana kumuua mume wake ili arithi mali.
Maana mirathi imembana..

Ndio maana waislam wanaume hawaogopi ndoa kabisaaa.
 
C
Thomas Partey anasema alibadili dini kutoka Ukristo kuwa muislamu kwa sababu ya mpenzi wake kutoka Morocco, Sara Bella.

Alisema alikulia miongoni mwa Waislamu, na haoni tofauti kubwa kati ya Wakristo na Waislamu.

Kwa sasa jina lake la kiislam ni YAKUBU

View attachment 2256694View attachment 2256695
Cheki mwarabu anavyokenua kwa jamaa kufuata mila za mababu zake

Kama kigezo ni kumfuata mwanamke na sii kwamba kavutiwa na dini siku wakikorofishana na kuachana ataendelea kubakia?

Je ! anajua dini aliyoenda baada ya kutamka shahada kifuatacho ni sheria zaidi ya kijeshi na akiiacha dini hiyo ( murtad) adhabu yake ni jambia la shingo?
 
libwata halijawahi kumwacha mtu salama.
 
Back
Top Bottom