Thomas Partey: Nilibadili dini kutoka Ukristo kuwa Muislamu kwa sababu ya mpenzi wangu

Thomas Partey: Nilibadili dini kutoka Ukristo kuwa Muislamu kwa sababu ya mpenzi wangu

Msimu ujao jezi mgongoni yakubu
Mshahara wake aseno nani atauchukua sasa maana mkataba unasoma thomas 😃😃😃
 
Msimu ujao jezi mgongoni yakubu
Mshahara wake aseno nani atauchukua sasa maana mkataba unasoma thomas 😃😃😃
Kwenye Interview kasema hautotumia jina la Yakubu kwenye Jezi hivyo itabaki Thomas kama kawaida.
 
Mbunye ina nguvu namna hii?

Anyway,sishangai sana kwasababu kule Usukumani tulikuwa na wimbo unaitwa :"Ngenya Ulame" yaani "Lombo Idumu Milele", hivyo vibaya pia kwa huyo Thomas kuimba " Mbunye Ulame".
 
Na wewe umetunga kitabu??!
Hapana mkuu, huyo wa jina wangu...Yeye Muajemi/persia/iran,ni ex-muslim pia. Miaka mitatau ijayo ALISINA(MAKINGILIMA) UTACHOMWA MOTO NAKUAPIA BY alisina,,,kwa lugha ya kiswahili.
 
Screenshot_20220615-072624.png
 
Punguzeni mifumo dume ndomana mnaua muda wote badala yakufikiri

Nammisi ngwair mwanamume kwa demu ni sawa na mfupa kwa fisi
Mfumo dume ni sehemu ya mifumo ambayo wanadamu waliumbwa nayo, kukataa mfumo dume ni ushetwani.

Haki sawa ni zao la mafundisho potofu ya ibilisi na mawakala wake duniani.
 
Mfumo dume ni sehemu ya mifumo ambayo wanadamu waliumbwa nayo, kukataa mfumo dume ni ushetwani.

Haki sawa ni zao la mafundisho potofu ya ibilisi na mawakala wake duniani.
Sharing is caring ,my brother badilikeni ndomana mnaua
 
Back
Top Bottom