Though been in the planning for the last 4 years, todate Nairobi is having no single inch of BRT system!

Though been in the planning for the last 4 years, todate Nairobi is having no single inch of BRT system!

Umepost zile fake news mlizotengeneza baada ya Tanzania kutajwa kuwa na dollar millionaires wengi kushinda kenya [emoji23][emoji23][emoji23]

UN Yaipongeza Tanzania Kudhibiti Dawa Za Kulevya - Global Publishers

Nakupa link za October 2019 wewe unasema ni za 2013!

Heroin from Asia and cocaine from Latin America now transit through Kenya, before heading to Europe. FRANCE 24’s team reports.



Kenyan port of Mombasa becomes world's new drug trafficking hub

So US department siku hizi imekuwa Kenya? My friend upende usipende Tanzania will remain to be drug traffickers. No wonder you are jailed in South Africa than any other EA nation.

US State Department Reports Tanzania Is East African Narcotics Trafficking Hub | Maritime Security Review
UN condemn Tanzania over control in drug trafficking
Drug Trafficking on the Rise in Tanzania
Tanzania's commercial capital, southern region leading in drug trafficking: official - Xinhua | English.news.cn
Tanzania’s Dar es Salaam is East Africa’s narcotics paradise and the biggest hub for drugs trafficking - US
 
Endelea kutafuta data za kuokota okota ili ujipe matumaini wakati World Bank wanafahamu kuwa 36.1% ya wakenya wanaishi kwenye umasikini huku Tanzania ni 26.4% tu.
Hamna ubishi ata nyie mnajulikana kuwa land of beggars and drug peddlers.Infact that xenophobic attacks towards Africans was caused by a Tanzanian drug dealer.All this due to Poverty in ua Country.
 
US department ya ushago kwenu labda,

Akikanusha habari hizo amesema kimataifa nchi yetu imekuwa mfano wa kuigwa kwani hata nchi za Uganda, Msumbiji, Ghana, Nigeria na Norway zimeomba kujifunza kutoka hapa Tanzania na kutaka kujua mbinu za utendaji kazi na jinsi sheria yetu inavyofanya kazi.
Pamoja na jitihada zote mpaka kuifikia hatua ya kupongezwa na Umoja wa Mataifa, Kaji ameelezea masikitiko yake kwa vyombo vya habari vinavyoandika habari za uzushi kuhusu mapambano ya dawa hizo na kusema eti, Tanzania ndiyo kitovu cha dawa za kulevya Afrika Mashariki.

Kaji akionyesha baadhi ya magazeti na kopi za mitandao iliyoandika uzushi dhidi ya dawa za kulevya hapa nchini.

madawa-ya-kulevya-4.jpg
 
Endelea kutafuta data za kuokota okota ili ujipe matumaini wakati World Bank wanafahamu kuwa 36.1% ya wakenya wanaishi kwenye umasikini huku Tanzania ni 26.4% tu.
let assist you to quote for you a statement from world bank and and below article " In East Africa, Tanzania has more people living in extreme poverty, some 21.9 million, followed by Kenya at 17.6 million and Uganda's 15.8 million."
Sub-Saharan Africa is likely to miss poverty targets: WB.
 
US department ya ushago kwenu labda,

Akikanusha habari hizo amesema kimataifa nchi yetu imekuwa mfano wa kuigwa kwani hata nchi za Uganda, Msumbiji, Ghana, Nigeria na Norway zimeomba kujifunza kutoka hapa Tanzania na kutaka kujua mbinu za utendaji kazi na jinsi sheria yetu inavyofanya kazi.
Pamoja na jitihada zote mpaka kuifikia hatua ya kupongezwa na Umoja wa Mataifa, Kaji ameelezea masikitiko yake kwa vyombo vya habari vinavyoandika habari za uzushi kuhusu mapambano ya dawa hizo na kusema eti, Tanzania ndiyo kitovu cha dawa za kulevya Afrika Mashariki.

Kaji akionyesha baadhi ya magazeti na kopi za mitandao iliyoandika uzushi dhidi ya dawa za kulevya hapa nchini.View attachment 1580273
Asante kwa kutuonyesha gazeti imeandikwa " Tanzania is East Africa`s new drug hub" 😂 😂 😂 . Let me add this one on top of it
 
let assist you to quote for you a statement from world bank and and below article " In East Africa, Tanzania has more people living in extreme poverty, some 21.9 million, followed by Kenya at 17.6 million and Uganda's 15.8 million."
Sub-Saharan Africa is likely to miss poverty targets: WB.
The East African gazeti!

Tena article ya February [emoji23][emoji23][emoji23]

Mimi nawapeni data za World Bank mwaka jana mwishoni nyie mnanipa za mwaka jana mwanzoni,

Yaani data za World Bank ni sahihi wakiandika mazuri ya kenya ila yakiandika mabaya ya kenya sio sahihi.
 
Asante kwa kutuonyesha gazeti imeandikwa " Tanzania is East Africa`s new drug hub" [emoji23] [emoji23] [emoji23] . Let me add this one on top of it
Magazeti yenu yanafahamika kwa kuandika uzushi na uwongo kuhusu Tanzania.
 
Zinatumika zilizopo,

Kwa sasa population ya wakenya wanaoishi kwenye umasikini ni 36.1% na kuna uwezekano wa kuongezeka zaidi kutokana makampuni mbalimbali kupunguza wafanyakazi na zingine kufunga ofisi zao,

Tanzania ni 26.4% hutaki andamana na hakuna kitu utabadilisha,
Pia Tanzania inafanya vizuri Sub Saharan Africa kwenye kupunguza masikini,

Usisahau pia kuwa masikini wa Tanzania ana chakula, ardhi pamoja na huduma zingine muhimu.
Data ziko wapi[emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom