Thread maalum kwa ajili ya kutakiana heri ya mwaka mpya na sikukuu ya X-mass, pia kuorodhesha matukio yote yatakayotokea kwenye X-Mass na mwaka mpya

Amiin mimi ni m1 wa waliokwama kuowa mwaka huu kutokana na ukata wa fedha.

I hope next year mambo yatajiset na nitaweka jiko ndani tho..
Pole sana bro,,,ila mimi nilifosi hivo hivo japo sikuwa na kitu,but nashukuru Mungu last month nimefanikisha,,,now nafurahia tendo takatifu la ndoa na laazizi wangu,,,japo tuna madeni ya hapa na pale.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…