Thread maalum kwa ajili ya kutakiana heri ya mwaka mpya na sikukuu ya X-mass, pia kuorodhesha matukio yote yatakayotokea kwenye X-Mass na mwaka mpya

Pole sana bro,,,ila mimi nilifosi hivo hivo japo sikuwa na kitu,but nashukuru Mungu last month nimefanikisha,,,now nafurahia tendo takatifu la ndoa na laazizi wangu,,,japo tuna madeni ya hapa na pale.
Na huo ndio uwanaume mkuu, lazima uchukue riziki kwa lolote litakalotokea, ilimradi umalize au usawazishe kwanza yaliopo mbele yako.
 
Kwa maombi haya na ushauri huu walai unastahili kuchangiwa na wanaJF wote, ili upate angalau robo mbuzi wa kula na familia yako kwenye Christmas au mwaka mpya 😂😂
 
Pole sana bro,,,ila mimi nilifosi hivo hivo japo sikuwa na kitu,but nashukuru Mungu last month nimefanikisha,,,now nafurahia tendo takatifu la ndoa na laazizi wangu,,,japo tuna madeni ya hapa na pale.
Mungu akujaalie ndoa yako iwe na amani, upendo na mshikamano wa hali ya juu. Hapa kuna kitu nimejifunza kupitia comment yako, na nataka nilifanyie kazi haraka iwezekanavyo before ya kuwa too late.

Asant my brother
 
[emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…