Synthesizer
Platinum Member
- Feb 15, 2010
- 12,699
- 22,598
Miaka mitatu iliyopita, niliweka thread humu JF na kuainisha wazi kabisa jinsi serikali ilivyokuwa ikiwanvunjia Watanzania haki zao za binadamu. Leo hii nina furaha sana kuona hili limesikilizwa! Wakati huo tulikuwa chini nya Raisi Magufuli, lakini niliona kuna haja ya kumweleza ukweli kutokana na uonevu uiliokuwapo.
www.jamiiforums.com
Asante sana mama Samia. Tuendelee kuijenga nchi yetu
www.jamiiforums.com
Tanzania na uvunjaji wa haki za binadamu uliokithiri: Kwanini umweke mtuhumiwa rumande na hata kumnyima dhamana wakati upelelezi haujakamilika?
Huwa najiuliza kama wanadamu tunatumia angalau ule uwezo mdogo wa kufikiri ambao tumejaliwa na Mwenyezi Mungu katika kufanya maamuzi, ukizingatia kwamba wanaotunga sheria za nchi ni wanadamu wanaopaswa kuwa na akili timamu. Hebu fikiria hili; polisi wanakukamata na kukupeleka mahabusu. Ukiwa na...
Asante sana mama Samia. Tuendelee kuijenga nchi yetu
Mkurugenzi wa Mashtaka Nchini (DPP), apiga marufuku watuhumiwa kushikiliwa kabla upelelezi haujakamilika
Agizo hilo limetolewa kupitia Muongozo wa Mashitaka Namba 1 wa mwaka 2022 ambao pia unaagiza upelelezi wa mashitaka kukamilika ndani ya siku 90 na zikizidi iwe kwa kibali maalumu cha DPP. Aidha muongozo huo umeongeza kifungu cha 131A kinachoweka ulazima wa kukamilisha upelelezi kabla ya...