Thread number 2 Hassara Ya Urusi kwenye Vita Ya Ukraine

Thread number 2 Hassara Ya Urusi kwenye Vita Ya Ukraine

britanicca

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2015
Posts
16,295
Reaction score
33,994
Uzi wa awali ulieleza jinsi Urusi alivyopoteza, Vitani ila huu utaangalia Uchumi na uwekezaji
MAUZO
Mauzo nje yameshuka kwa asilimia 30 tokea amewekwa vikwazo

Hungary imesitisha uingizaji wa mafuta Ya Urusi kwa asilimia 20%

Ufaransa imepunguza utegemezi wa mafuta ya Urusi Kwa asilimia 30%

Estonia na Lativia wamesitisha Kabisa


Ujerumani imepunguza uingizaji Na utegemezi wa mafuta Ya Urusi kwa asilimia 25 mpaka jioni hii

Mbolea ilikuwa inauzwa Ulaya na Asia imezorota Baada Ya Pakistan na Thaikand kusitisha ununuzi wa mbolea Kutoka Urusi katikati Ya Mwezi wa 3 na kutegemea mbolea zao za ndani,

AJIRA
Baada ya Makampuni 1200 makubwa na Madogo kufunga kufanya Biashara Urusi Warusi wamekosa ajira na wananchi wa Rostov on don Leo walitishia kuitisha maandamano yasiyo na kikomo kwa Mwezi huu,
Ajira zaidi ya 3M zimepotea haraka , Pia na mashirika washirika wa makampuni yanayofanya kazi na ya Urusi yamesitisha Ajira kwa Warusi zaid ya 2,4M duniani kote

Matangazo zaidi ya 10M yaliyokuwa yanatangazwa kupitia Instagram na Facebook yamesitisha na kusababisha hasara Kwa asilimia 38% Kwa wa fanya biashara wa Urusi .

KANDARASI ZAIDI YA 64 ZA URUSI ZIMESITISHWA DUNIANI

Urusi ana Kandarasi katika nchi Mbalimbali duniani Hasa Asia na Ulaya mashariki zimesitishwa kutokana na Vita ya Ukraine

Mradi wa Bomba la Nodrik wa Ujerumani umesitishwa,

Mradi wa Sputnik na Skype umesitishwa

Mradi wa kushirikiana na NPP estonia kuzalisha Nishati umesitishwa

Mradi wa Treni wa Finland na MOSCOW Umeaitishwa

Mradi wa Trading kati ya Frankfurt Market na St. Petersburg haupo tena


KUHUSU BEI AU THAMANI YA RUBLE HAIKO STABLE.
Kuna kelele zinaendelea kwamba Ruble imegain value ni kweli Book value imepanda for speculating calculations

Ila MARKET VALUE NI TOFAUTI

BOOK VALEU NI 1$ kwa 87RB
Ila MARKET VALUE NI 1$ KWA 117RB

Kwanza wengine wameacha hata kuzuiuza

Nimeingia benki ya Krungsri ya **** ambayo ni Corporate branch ya oversees ya Bangkok 1$ inabadilishwa kiuhalisia Kwa 120RB

Privat Bank wanabadilisha 1$ Kwa 116RB

Mono Bank wanabadilisha 1$ Kwa 117RB

HSBC wanabalisha 1$ Kwa 110RB

Lakin Kwa Mavitabu Au Book Value ya Mtandao utanambiwa ni 87 per USD

UJIRA NA MISHAHARA
Mishahara ya wafanyakazi wa serikali ndani ya Urusi imepunguzwa Kwa asilimia 18

Mshahara wa afisa ngazi ya chini alikuwa analipwa
1000$ Kwa mwezi sawa na 110,000Rubles ila sasa wanalipwa 71,000 Yaan 720$

Ma shirika binafsi wameshushwa toka 85,000RB mpaka 58,000RB

Mashirika binafsi kadhaa yameshusha ila mengi yamepunguza wafanyakazi

Sources Sputnik, Banks Krungsri, Privat Bank, Mono Bank, Private and Government employees through their notifications



Naendelea Naendelea

Britanicca
 
Dua la kuku
Screenshot_20220406-214518_RT News.jpg
Screenshot_20220406-214701_RT News.jpg
 
Uzi wa awali ulieleza jinsi Urusi alivyopoteza, Vitani ila huu utaangalia Uchumi na uwekezaji
MAUZO
Mauzo nje yameshuka kwa asilimia 30 tokea amewekwa vikwazo

Hungary imesitisha uingizaji wa mafuta Ya Urusi kwa asilimia 20%

Ufaransa imepunguza utegemezi wa mafuta ya Urusi Kwa asilimia 30%

Estonia na Lativia wamesitisha Kabisa


Ujerumani imepunguza uingizaji Na utegemezi wa mafuta Ya Urusi kwa asilimia 25 mpaka jioni hii

Mbolea ilikuwa inauzwa Ulaya na Asia imezorota Baada Ya Pakistan na Thaikand kusitisha ununuzi wa mbolea Kutoka Urusi katikati Ya Mwezi wa 3 na kutegemea mbolea zao za ndani,

AJIRA
Baada ya Makampuni 1200 makubwa na Madogo kufunga kufanya Biashara Urusi Warusi wamekosa ajira na wananchi wa Rostov on don Leo walitishia kuitisha maandamano yasiyo na kikomo kwa Mwezi huu,
Ajira zaidi ya 3M zimepotea haraka , Pia na mashirika washirika wa makampuni yanayofanya kazi na ya Urusi yamesitisha Ajira kwa Warusi zaid ya 2,4M duniani kote

Matangazo zaidi ya 10M yaliyokuwa yanatangazwa kupitia Instagram na Facebook yamesitisha na kusababisha hasara Kwa asilimia 38% Kwa wa fanya biashara wa Urusi .

KANDARASI ZAIDI YA 64 ZA URUSI ZIMESITISHWA DUNIANI

Urusi ana Kandarasi katika nchi Mbalimbali duniani Hasa Asia na Ulaya mashariki zimesitishwa kutokana na Vita ya Ukraine

Mradi wa Bomba la Nodrik wa Ujerumani umesitishwa,

Mradi wa Sputnik na Skype umesitishwa

Mradi wa kushirikiana na NPP estonia kuzalisha Nishati umesitishwa

Mradi wa Treni wa Finland na MOSCOW Umeaitishwa

Mradi wa Trading kati ya Frankfurt Market na St. Petersburg haupo tena


KUHUSU BEI AU THAMANI YA RUBLE HAIKO STABLE.
Kuna kelele zinaendelea kwamba Ruble imegain value ni kweli Book value imepanda for speculating calculations

Ila MARKET VALUE NI TOFAUTI

BOOK VALEU NI 1$ kwa 87RB
Ila MARKET VALUE NI 1$ KWA 117RB

Kwanza wengine wameacha hata kuzuiuza

Nimeingia benki ya Krungsri ya **** ambayo ni Corporate branch ya oversees ya Bangkok 1$ inabadilishwa kiuhalisia Kwa 120RB

Privat Bank wanabadilisha 1$ Kwa 116RB

Mono Bank wanabadilisha 1$ Kwa 117RB

HSBC wanabalisha 1$ Kwa 110RB

Lakin Kwa Mavitabu Au Book Value ya Mtandao utanambiwa ni 87 per USD

UJIRA NA MISHAHARA
Mishahara ya wafanyakazi wa serikali ndani ya Urusi imepunguzwa Kwa asilimia 18

Mshahara wa afisa ngazi ya chini alikuwa analipwa
1000$ Kwa mwezi sawa na 110,000Rubles ila sasa wanalipwa 71,000 Yaan 72$

Ma shirika binafsi wameshushwa toka 85,000RB mpaka 58,000RB

Mashirika binafsi kadhaa yameshusha ila mengi yamepunguza wafanyakazi

Sources Sputnik, Banks Krungsri, Privat Bank, Mono Bank, Private and Government employees through their notifications

Naendelea Naendelea

Britanicca
Mkuu gesi na mafuta si nyanya kwamba zitaoza. Na jinsi Ulaya wanavyositisha Gas ndio jinsi wanavyoshuka kiuchumi na ndio Jinsi China anavyogain momentum.

Ulaya hawana source nyengine za Energy, viwanda na shughuli nyengine za uzalishaji haziwezi kuendelea.

Hapa tunaongea hivi kikao cha Umoja wa Ulaya kimeshindwa kukubaliana kuban Makaa ya mawe ya Urusi, Nchi haziwezi kuishi bila energy ya kirusi

EU diplomats fail to agree on coal ban, new Russia sanctions: sources - National | Globalnews.ca.

Urusi mwenyewe? Hana Tabu gesi ni yake na makaa ya mawe ni Yake, Asiponunua Ujerumani atauziwa China, asiponunua Hungary atanunua Indonesia, asiponunua Ufaransa India yupo Etc.

Hivyo Urusi hawahitaji ulaya kama Ulaya wanavyomuhitaji Mrusi
 
Mkuu gesi na mafuta si nyanya kwamba zitaoza. Na jinsi Ulaya wanavyositisha Gas ndio jinsi wanavyoshuka kiuchumi na ndio Jinsi China anavyogain momentum.

Ulaya hawana source nyengine za Energy, viwanda na shughuli nyengine za uzalishaji haziwezi kuendelea.

Hapa tunaongea hivi kikao cha Umoja wa Ulaya kimeshindwa kukubaliana kuban Makaa ya mawe ya Urusi, Nchi haziwezi kuishi bila energy ya kirusi

EU diplomats fail to agree on coal ban, new Russia sanctions: sources - National | Globalnews.ca.

Urusi mwenyewe? Hana Tabu gesi ni yake na makaa ya mawe ni Yake, Asiponunua Ujerumani atauziwa China, asiponunua Hungary atanunua Indonesia, asiponunua Ufaransa India yupo Etc.

Hivyo Urusi hawahitaji ulaya kama Ulaya wanavyomuhitaji Mrusi
Hivi unawaona viongozi wa Ulaya ni wajinga sana kuchukua hayo maamuzi.Wangekuwa wajinga wasingekuwa na uchumi wenye nguvu Duniani,wanajua wanachokifanya,huyo mwenye gesi yake akae nayo tuone kama itakuwa ya maana bila kuiuza na hivi uchumi wake ndiyo kwanza unaporomoka kwa kasi ya 5G
 
Uzi wa awali ulieleza jinsi Urusi alivyopoteza, Vitani ila huu utaangalia Uchumi na uwekezaji
MAUZO
Mauzo nje yameshuka kwa asilimia 30 tokea amewekwa vikwazo

Hungary imesitisha uingizaji wa mafuta Ya Urusi kwa asilimia 20%

Ufaransa imepunguza utegemezi wa mafuta ya Urusi Kwa asilimia 30%

Estonia na Lativia wamesitisha Kabisa


Ujerumani imepunguza uingizaji Na utegemezi wa mafuta Ya Urusi kwa asilimia 25 mpaka jioni hii

Mbolea ilikuwa inauzwa Ulaya na Asia imezorota Baada Ya Pakistan na Thaikand kusitisha ununuzi wa mbolea Kutoka Urusi katikati Ya Mwezi wa 3 na kutegemea mbolea zao za ndani,

AJIRA
Baada ya Makampuni 1200 makubwa na Madogo kufunga kufanya Biashara Urusi Warusi wamekosa ajira na wananchi wa Rostov on don Leo walitishia kuitisha maandamano yasiyo na kikomo kwa Mwezi huu,
Ajira zaidi ya 3M zimepotea haraka , Pia na mashirika washirika wa makampuni yanayofanya kazi na ya Urusi yamesitisha Ajira kwa Warusi zaid ya 2,4M duniani kote

Matangazo zaidi ya 10M yaliyokuwa yanatangazwa kupitia Instagram na Facebook yamesitisha na kusababisha hasara Kwa asilimia 38% Kwa wa fanya biashara wa Urusi .

KANDARASI ZAIDI YA 64 ZA URUSI ZIMESITISHWA DUNIANI

Urusi ana Kandarasi katika nchi Mbalimbali duniani Hasa Asia na Ulaya mashariki zimesitishwa kutokana na Vita ya Ukraine

Mradi wa Bomba la Nodrik wa Ujerumani umesitishwa,

Mradi wa Sputnik na Skype umesitishwa

Mradi wa kushirikiana na NPP estonia kuzalisha Nishati umesitishwa

Mradi wa Treni wa Finland na MOSCOW Umeaitishwa

Mradi wa Trading kati ya Frankfurt Market na St. Petersburg haupo tena


KUHUSU BEI AU THAMANI YA RUBLE HAIKO STABLE.
Kuna kelele zinaendelea kwamba Ruble imegain value ni kweli Book value imepanda for speculating calculations

Ila MARKET VALUE NI TOFAUTI

BOOK VALEU NI 1$ kwa 87RB
Ila MARKET VALUE NI 1$ KWA 117RB

Kwanza wengine wameacha hata kuzuiuza

Nimeingia benki ya Krungsri ya **** ambayo ni Corporate branch ya oversees ya Bangkok 1$ inabadilishwa kiuhalisia Kwa 120RB

Privat Bank wanabadilisha 1$ Kwa 116RB

Mono Bank wanabadilisha 1$ Kwa 117RB

HSBC wanabalisha 1$ Kwa 110RB

Lakin Kwa Mavitabu Au Book Value ya Mtandao utanambiwa ni 87 per USD

UJIRA NA MISHAHARA
Mishahara ya wafanyakazi wa serikali ndani ya Urusi imepunguzwa Kwa asilimia 18

Mshahara wa afisa ngazi ya chini alikuwa analipwa
1000$ Kwa mwezi sawa na 110,000Rubles ila sasa wanalipwa 71,000 Yaan 72$

Ma shirika binafsi wameshushwa toka 85,000RB mpaka 58,000RB

Mashirika binafsi kadhaa yameshusha ila mengi yamepunguza wafanyakazi

Sources Sputnik, Banks Krungsri, Privat Bank, Mono Bank, Private and Government employees through their notifications

Naendelea Naendelea

Britanicca
Pia hizo nchi unazosema zinasitisha ununuaji Gas ni uongo mweupe huyo Hungary uliemtaja masaa 4 yaliyopita Reuters wamereport Amekubaliana na mrusi kununua Gesi kwa ruble


Urusi ndio ameshika Koki, kuna Nchi manunuzi ya gas yameshuka si sababu wamepunguza manunuzi la Hasha bali ni kwamba Hawana Ruble za Kulipia hivyo koki zinafungwa any time.
 
Uzi wa awali ulieleza jinsi Urusi alivyopoteza, Vitani ila huu utaangalia Uchumi na uwekezaji
MAUZO
Mauzo nje yameshuka kwa asilimia 30 tokea amewekwa vikwazo

Hungary imesitisha uingizaji wa mafuta Ya Urusi kwa asilimia 20%

Ufaransa imepunguza utegemezi wa mafuta ya Urusi Kwa asilimia 30%

Estonia na Lativia wamesitisha Kabisa


Ujerumani imepunguza uingizaji Na utegemezi wa mafuta Ya Urusi kwa asilimia 25 mpaka jioni hii

Mbolea ilikuwa inauzwa Ulaya na Asia imezorota Baada Ya Pakistan na Thaikand kusitisha ununuzi wa mbolea Kutoka Urusi katikati Ya Mwezi wa 3 na kutegemea mbolea zao za ndani,

AJIRA
Baada ya Makampuni 1200 makubwa na Madogo kufunga kufanya Biashara Urusi Warusi wamekosa ajira na wananchi wa Rostov on don Leo walitishia kuitisha maandamano yasiyo na kikomo kwa Mwezi huu,
Ajira zaidi ya 3M zimepotea haraka , Pia na mashirika washirika wa makampuni yanayofanya kazi na ya Urusi yamesitisha Ajira kwa Warusi zaid ya 2,4M duniani kote

Matangazo zaidi ya 10M yaliyokuwa yanatangazwa kupitia Instagram na Facebook yamesitisha na kusababisha hasara Kwa asilimia 38% Kwa wa fanya biashara wa Urusi .

KANDARASI ZAIDI YA 64 ZA URUSI ZIMESITISHWA DUNIANI

Urusi ana Kandarasi katika nchi Mbalimbali duniani Hasa Asia na Ulaya mashariki zimesitishwa kutokana na Vita ya Ukraine

Mradi wa Bomba la Nodrik wa Ujerumani umesitishwa,

Mradi wa Sputnik na Skype umesitishwa

Mradi wa kushirikiana na NPP estonia kuzalisha Nishati umesitishwa

Mradi wa Treni wa Finland na MOSCOW Umeaitishwa

Mradi wa Trading kati ya Frankfurt Market na St. Petersburg haupo tena


KUHUSU BEI AU THAMANI YA RUBLE HAIKO STABLE.
Kuna kelele zinaendelea kwamba Ruble imegain value ni kweli Book value imepanda for speculating calculations

Ila MARKET VALUE NI TOFAUTI

BOOK VALEU NI 1$ kwa 87RB
Ila MARKET VALUE NI 1$ KWA 117RB

Kwanza wengine wameacha hata kuzuiuza

Nimeingia benki ya Krungsri ya **** ambayo ni Corporate branch ya oversees ya Bangkok 1$ inabadilishwa kiuhalisia Kwa 120RB

Privat Bank wanabadilisha 1$ Kwa 116RB

Mono Bank wanabadilisha 1$ Kwa 117RB

HSBC wanabalisha 1$ Kwa 110RB

Lakin Kwa Mavitabu Au Book Value ya Mtandao utanambiwa ni 87 per USD

UJIRA NA MISHAHARA
Mishahara ya wafanyakazi wa serikali ndani ya Urusi imepunguzwa Kwa asilimia 18

Mshahara wa afisa ngazi ya chini alikuwa analipwa
1000$ Kwa mwezi sawa na 110,000Rubles ila sasa wanalipwa 71,000 Yaan 72$

Ma shirika binafsi wameshushwa toka 85,000RB mpaka 58,000RB

Mashirika binafsi kadhaa yameshusha ila mengi yamepunguza wafanyakazi

Sources Sputnik, Banks Krungsri, Privat Bank, Mono Bank, Private and Government employees through their notifications

Naendelea Naendelea

Britanicca
Screenshot_20220406-220631_RT News.jpg
 
Hivi unawaona viongozi wa Ulaya ni wajinga sana kuchukua hayo maamuzi.Wangekuwa wajinga wasingekuwa na uchumi wenye nguvu Duniani,wanajua wanachokifanya,huyo mwenye gesi yake akae nayo tuone kama itakuwa ya maana bila kuiuza na hivi uchumi wake ndiyo kwanza unaporomoka kwa kasi ya 5G
Uzuri kila mtu keshachagua timu yake.......hakuna povu ni nondo na kuangalia uhalisia tu......uzuri sasa si miaka ya 60 huko kila mtu anapata taarifa
 
Hivi unawaona viongozi wa Ulaya ni wajinga sana kuchukua hayo maamuzi.Wangekuwa wajinga wasingekuwa na uchumi wenye nguvu Duniani,wanajua wanachokifanya,huyo mwenye gesi yake akae nayo tuone kama itakuwa ya maana bila kuiuza na hivi uchumi wake ndiyo kwanza unaporomoka kwa kasi ya 5G
Miaka 100 iliopita Uchumi wa ulaya ulikuwa juu na waliwatawala watu kibao, leo hii top 10 ya Nchi zenye Uchumi mkubwa zimebaki Nchi 4 tu za ulaya. NCHI kama China, South Korea, Japan, India zimepanda na kuchukua Nafasi.

Na Bado ukiangalia Top 15 kuna Nchi kama Brazil na Indonesia Miaka ijayo zinaingia Top 10 nazo maana Uchumi unakua kwa Kasi.

Ulaya wamekurupuka, na Double standard nyingi zimetumika, kihaki kabisa kama Urusi anawekewa vikwazo basi Ufaransa, Usa na wengineo nap pia wawekewe.

Ndio maana vikwazo wameweka tu watu wa Ulaya, Nchi za Africa, America kusini, Asia zimenyamaza hazitaki kuingilia.

Na Una source yoyote Uchumi wa Russia unaporomoka kwa Kasi?
 
P
Uzi wa awali ulieleza jinsi Urusi alivyopoteza, Vitani ila huu utaangalia Uchumi na uwekezaji
MAUZO
Mauzo nje yameshuka kwa asilimia 30 tokea amewekwa vikwazo

Hungary imesitisha uingizaji wa mafuta Ya Urusi kwa asilimia 20%

Ufaransa imepunguza utegemezi wa mafuta ya Urusi Kwa asilimia 30%

Estonia na Lativia wamesitisha Kabisa


Ujerumani imepunguza uingizaji Na utegemezi wa mafuta Ya Urusi kwa asilimia 25 mpaka jioni hii

Mbolea ilikuwa inauzwa Ulaya na Asia imezorota Baada Ya Pakistan na Thaikand kusitisha ununuzi wa mbolea Kutoka Urusi katikati Ya Mwezi wa 3 na kutegemea mbolea zao za ndani,

AJIRA
Baada ya Makampuni 1200 makubwa na Madogo kufunga kufanya Biashara Urusi Warusi wamekosa ajira na wananchi wa Rostov on don Leo walitishia kuitisha maandamano yasiyo na kikomo kwa Mwezi huu,
Ajira zaidi ya 3M zimepotea haraka , Pia na mashirika washirika wa makampuni yanayofanya kazi na ya Urusi yamesitisha Ajira kwa Warusi zaid ya 2,4M duniani kote

Matangazo zaidi ya 10M yaliyokuwa yanatangazwa kupitia Instagram na Facebook yamesitisha na kusababisha hasara Kwa asilimia 38% Kwa wa fanya biashara wa Urusi .

KANDARASI ZAIDI YA 64 ZA URUSI ZIMESITISHWA DUNIANI

Urusi ana Kandarasi katika nchi Mbalimbali duniani Hasa Asia na Ulaya mashariki zimesitishwa kutokana na Vita ya Ukraine

Mradi wa Bomba la Nodrik wa Ujerumani umesitishwa,

Mradi wa Sputnik na Skype umesitishwa

Mradi wa kushirikiana na NPP estonia kuzalisha Nishati umesitishwa

Mradi wa Treni wa Finland na MOSCOW Umeaitishwa

Mradi wa Trading kati ya Frankfurt Market na St. Petersburg haupo tena


KUHUSU BEI AU THAMANI YA RUBLE HAIKO STABLE.
Kuna kelele zinaendelea kwamba Ruble imegain value ni kweli Book value imepanda for speculating calculations

Ila MARKET VALUE NI TOFAUTI

BOOK VALEU NI 1$ kwa 87RB
Ila MARKET VALUE NI 1$ KWA 117RB

Kwanza wengine wameacha hata kuzuiuza

Nimeingia benki ya Krungsri ya **** ambayo ni Corporate branch ya oversees ya Bangkok 1$ inabadilishwa kiuhalisia Kwa 120RB

Privat Bank wanabadilisha 1$ Kwa 116RB

Mono Bank wanabadilisha 1$ Kwa 117RB

HSBC wanabalisha 1$ Kwa 110RB

Lakin Kwa Mavitabu Au Book Value ya Mtandao utanambiwa ni 87 per USD

UJIRA NA MISHAHARA
Mishahara ya wafanyakazi wa serikali ndani ya Urusi imepunguzwa Kwa asilimia 18

Mshahara wa afisa ngazi ya chini alikuwa analipwa
1000$ Kwa mwezi sawa na 110,000Rubles ila sasa wanalipwa 71,000 Yaan 72$

Ma shirika binafsi wameshushwa toka 85,000RB mpaka 58,000RB

Mashirika binafsi kadhaa yameshusha ila mengi yamepunguza wafanyakazi

Sources Sputnik, Banks Krungsri, Privat Bank, Mono Bank, Private and Government employees through their notifications



Naendelea Naendelea

Britanicca

Piga garagaza Hadi muda huu mrusi ni mshindi katika yote,SII vita iliyochochewa na Nato na Wala SII vikwazo alivyowekewa mrusi,Dunia imeathiriwa na yote haya,na miongoni wa vita ambayo taarifa zake haziwekwi wazi Kwa manufaa ya wenye maslahi ni hii,uongo mwingi kutoka Kwa wenye maslahi na vita hii,na taarifa chache na zilizo sahihi zaidi ya zile za kupikwa na wenye maslahi.
 
Mishahara ya wafanyakazi wa serikali ndani ya Urusi imepunguzwa Kwa asilimia 18

Mshahara wa afisa ngazi ya chini alikuwa analipwa
1000$ Kwa mwezi sawa na 110,000Rubles ila sasa wanalipwa 71,000 Yaan 72$

Bwana Utam
umeelewa hizo hesabu
 
hesabu nimezielewa MKUU ila shida nikwamba hakuna ushahidi
RUSSIA sio ZIMBABWE
Tatizo propaganda za kuokoteza shida huwa hazipangiliki
haiwezekani punguzo la mshahara la 18%
ndo iwe kutoka 1000$ mpk 72$
yaan hesabu zimekataa
km kungekuwa na punguzo la 18% inamaana kutoka 1000$ basi ingekuwa 820$ ila siyo hiyo 72$
 
Hadi wandengereko wanalalamika vita inawaathiri.
Mimi nilikuwa najua mafuta ya Tanzania yananunuliwa kutoka uarabuni.
 
Tatizo propaganda za kuokoteza shida huwa hazipangiliki
haiwezekani punguzo la mshahara la 18%
ndo iwe kutoka 1000$ mpk 72$
yaan hesabu zimekataa
km kungekuwa na punguzo la 18% inamaana kutoka 1000$ basi ingekuwa 820$ ila siyo hiyo 72$
Umemvua nguo vibaya sana.
 
Tatizo propaganda za kuokoteza shida huwa hazipangiliki
haiwezekani punguzo la mshahara la 18%
ndo iwe kutoka 1000$ mpk 72$
yaan hesabu zimekataa
km kungekuwa na punguzo la 18% inamaana kutoka 1000$ basi ingekuwa 820$ ila siyo hiyo 72$
Hehehee nlikua sijaelewa sasa nimekuelewa uzi wake sikuusoma mpaka mwisho maana najua anapropaganda nyingiii
Ila acha iendelee kunyesha MKUU tutaona wapi panavuja
 
Back
Top Bottom