Thread number 2 Hassara Ya Urusi kwenye Vita Ya Ukraine

Thread number 2 Hassara Ya Urusi kwenye Vita Ya Ukraine

Na Una source yoyote Uchumi wa Russia unaporomoka kwa Kasi?

Hizo nyingine ni blah blah najikita hii paragraph ya mwisho,hata kabla ya Vita Russia hayupo katika mataifa yenye uchumi wenye nguvu Duniani,hajawahi na hatokuja kuwa katika top 15,sembuse leo na vikwazo lukuki alivyowekewa,huko alikokuwa ananing'inia ataporomoka zaidi nq zaidi.
 
P

Piga garagaza Hadi muda huu mrusi ni mshindi katika yote,SII vita iliyochochewa na Nato na Wala SII vikwazo alivyowekewa mrusi,Dunia imeathiriwa na yote haya,na miongoni wa vita ambayo taarifa zake haziwekwi wazi Kwa manufaa ya wenye maslahi ni hii,uongo mwingi kutoka Kwa wenye maslahi na vita hii,na taarifa chache na zilizo sahihi zaidi ya zile za kupikwa na wenye maslahi.
Huyo Russia anashindwa nini kuweka taarifa sahihi Dunia ili izijue
 
Hizo nyingine ni blah blah najikita hii paragraph ya mwisho,hata kabla ya Vita Russia hayupo katika mataifa yenye uchumi wenye nguvu Duniani,hajawahi na hatokuja kuwa katika top 15,sembuse leo na vikwazo lukuki alivyowekewa,huko alikokuwa ananing'inia ataporomoka zaidi nq zaidi.
Hajawahi wakati mtu alikuamo mpaka kwa G-7 mukamtoa kimichongo
Kama mnavyotaka kumtoa kimichongo huko G-20
 
Tatizo propaganda za kuokoteza shida huwa hazipangiliki
haiwezekani punguzo la mshahara la 18%
ndo iwe kutoka 1000$ mpk 72$
yaan hesabu zimekataa
km kungekuwa na punguzo la 18% inamaana kutoka 1000$ basi ingekuwa 820$ ila siyo hiyo 72$
Wewe nae sasa huoni hapo ni typing error akaskip kuweka 0 it was meant to be $720.Unavyokosoa utadhani wewe huwa hukosei kuandika.Btw povu ruksa maana mmeshavurugwa vibaya sana Warussi wa Kolelo [emoji3]
 
Hajawahi wakati mtu alikuamo mpaka kwa G-7 mukamtoa kimichongo
Kama mnavyotaka kumtoa kimichongo huko G-20
Russia hajawahi kuwa katika top 15 na hatokuja kuwa period.Mkuu kule kwa uzi mwingine ulikuwa unabisha unyama wa Warussi waliowafanyia Wananchi wa Bucha,baada ta kuona live picha jinsi wanavyowaua watu una lipi la kusema,au kama kawaida yenu umefunika kombe [emoji3].Putin is the War Criminal na iko siku atasimama kizimbani,labda ajiwahishe mwenyewe kwa Muumba.
 
Uzi wa awali ulieleza jinsi Urusi alivyopoteza, Vitani ila huu utaangalia Uchumi na uwekezaji
MAUZO
Mauzo nje yameshuka kwa asilimia 30 tokea amewekwa vikwazo

Hungary imesitisha uingizaji wa mafuta Ya Urusi kwa asilimia 20%

Ufaransa imepunguza utegemezi wa mafuta ya Urusi Kwa asilimia 30%

Estonia na Lativia wamesitisha Kabisa


Ujerumani imepunguza uingizaji Na utegemezi wa mafuta Ya Urusi kwa asilimia 25 mpaka jioni hii

Mbolea ilikuwa inauzwa Ulaya na Asia imezorota Baada Ya Pakistan na Thaikand kusitisha ununuzi wa mbolea Kutoka Urusi katikati Ya Mwezi wa 3 na kutegemea mbolea zao za ndani,

AJIRA
Baada ya Makampuni 1200 makubwa na Madogo kufunga kufanya Biashara Urusi Warusi wamekosa ajira na wananchi wa Rostov on don Leo walitishia kuitisha maandamano yasiyo na kikomo kwa Mwezi huu,
Ajira zaidi ya 3M zimepotea haraka , Pia na mashirika washirika wa makampuni yanayofanya kazi na ya Urusi yamesitisha Ajira kwa Warusi zaid ya 2,4M duniani kote

Matangazo zaidi ya 10M yaliyokuwa yanatangazwa kupitia Instagram na Facebook yamesitisha na kusababisha hasara Kwa asilimia 38% Kwa wa fanya biashara wa Urusi .

KANDARASI ZAIDI YA 64 ZA URUSI ZIMESITISHWA DUNIANI

Urusi ana Kandarasi katika nchi Mbalimbali duniani Hasa Asia na Ulaya mashariki zimesitishwa kutokana na Vita ya Ukraine

Mradi wa Bomba la Nodrik wa Ujerumani umesitishwa,

Mradi wa Sputnik na Skype umesitishwa

Mradi wa kushirikiana na NPP estonia kuzalisha Nishati umesitishwa

Mradi wa Treni wa Finland na MOSCOW Umeaitishwa

Mradi wa Trading kati ya Frankfurt Market na St. Petersburg haupo tena


KUHUSU BEI AU THAMANI YA RUBLE HAIKO STABLE.
Kuna kelele zinaendelea kwamba Ruble imegain value ni kweli Book value imepanda for speculating calculations

Ila MARKET VALUE NI TOFAUTI

BOOK VALEU NI 1$ kwa 87RB
Ila MARKET VALUE NI 1$ KWA 117RB

Kwanza wengine wameacha hata kuzuiuza

Nimeingia benki ya Krungsri ya **** ambayo ni Corporate branch ya oversees ya Bangkok 1$ inabadilishwa kiuhalisia Kwa 120RB

Privat Bank wanabadilisha 1$ Kwa 116RB

Mono Bank wanabadilisha 1$ Kwa 117RB

HSBC wanabalisha 1$ Kwa 110RB

Lakin Kwa Mavitabu Au Book Value ya Mtandao utanambiwa ni 87 per USD

UJIRA NA MISHAHARA
Mishahara ya wafanyakazi wa serikali ndani ya Urusi imepunguzwa Kwa asilimia 18

Mshahara wa afisa ngazi ya chini alikuwa analipwa
1000$ Kwa mwezi sawa na 110,000Rubles ila sasa wanalipwa 71,000 Yaan 720$

Ma shirika binafsi wameshushwa toka 85,000RB mpaka 58,000RB

Mashirika binafsi kadhaa yameshusha ila mengi yamepunguza wafanyakazi

Sources Sputnik, Banks Krungsri, Privat Bank, Mono Bank, Private and Government employees through their notifications



Naendelea Naendelea

Britanicca

Kwani Ukraine 🇺🇦 wamepata faida gani vitani?

Kuna mbususu zao zimekwama Zanzibar zinapigwa tu show na wafuga majini
 
Uzi wa awali ulieleza jinsi Urusi alivyopoteza, Vitani ila huu utaangalia Uchumi na uwekezaji
MAUZO
Mauzo nje yameshuka kwa asilimia 30 tokea amewekwa vikwazo

Hungary imesitisha uingizaji wa mafuta Ya Urusi kwa asilimia 20%

Ufaransa imepunguza utegemezi wa mafuta ya Urusi Kwa asilimia 30%

Estonia na Lativia wamesitisha Kabisa


Ujerumani imepunguza uingizaji Na utegemezi wa mafuta Ya Urusi kwa asilimia 25 mpaka jioni hii

Mbolea ilikuwa inauzwa Ulaya na Asia imezorota Baada Ya Pakistan na Thaikand kusitisha ununuzi wa mbolea Kutoka Urusi katikati Ya Mwezi wa 3 na kutegemea mbolea zao za ndani,

AJIRA
Baada ya Makampuni 1200 makubwa na Madogo kufunga kufanya Biashara Urusi Warusi wamekosa ajira na wananchi wa Rostov on don Leo walitishia kuitisha maandamano yasiyo na kikomo kwa Mwezi huu,
Ajira zaidi ya 3M zimepotea haraka , Pia na mashirika washirika wa makampuni yanayofanya kazi na ya Urusi yamesitisha Ajira kwa Warusi zaid ya 2,4M duniani kote

Matangazo zaidi ya 10M yaliyokuwa yanatangazwa kupitia Instagram na Facebook yamesitisha na kusababisha hasara Kwa asilimia 38% Kwa wa fanya biashara wa Urusi .

KANDARASI ZAIDI YA 64 ZA URUSI ZIMESITISHWA DUNIANI

Urusi ana Kandarasi katika nchi Mbalimbali duniani Hasa Asia na Ulaya mashariki zimesitishwa kutokana na Vita ya Ukraine

Mradi wa Bomba la Nodrik wa Ujerumani umesitishwa,

Mradi wa Sputnik na Skype umesitishwa

Mradi wa kushirikiana na NPP estonia kuzalisha Nishati umesitishwa

Mradi wa Treni wa Finland na MOSCOW Umeaitishwa

Mradi wa Trading kati ya Frankfurt Market na St. Petersburg haupo tena


KUHUSU BEI AU THAMANI YA RUBLE HAIKO STABLE.
Kuna kelele zinaendelea kwamba Ruble imegain value ni kweli Book value imepanda for speculating calculations

Ila MARKET VALUE NI TOFAUTI

BOOK VALEU NI 1$ kwa 87RB
Ila MARKET VALUE NI 1$ KWA 117RB

Kwanza wengine wameacha hata kuzuiuza

Nimeingia benki ya Krungsri ya **** ambayo ni Corporate branch ya oversees ya Bangkok 1$ inabadilishwa kiuhalisia Kwa 120RB

Privat Bank wanabadilisha 1$ Kwa 116RB

Mono Bank wanabadilisha 1$ Kwa 117RB

HSBC wanabalisha 1$ Kwa 110RB

Lakin Kwa Mavitabu Au Book Value ya Mtandao utanambiwa ni 87 per USD

UJIRA NA MISHAHARA
Mishahara ya wafanyakazi wa serikali ndani ya Urusi imepunguzwa Kwa asilimia 18

Mshahara wa afisa ngazi ya chini alikuwa analipwa
1000$ Kwa mwezi sawa na 110,000Rubles ila sasa wanalipwa 71,000 Yaan 720$

Ma shirika binafsi wameshushwa toka 85,000RB mpaka 58,000RB

Mashirika binafsi kadhaa yameshusha ila mengi yamepunguza wafanyakazi

Sources Sputnik, Banks Krungsri, Privat Bank, Mono Bank, Private and Government employees through their notifications



Naendelea Naendelea

Britanicca

Screenshot_20220407-140821_RT News.jpg
 
Watu wazima wanakaa na kujadili eti kuwawekea vikwazo watoto was Putin... pathetic....ndo hasara hiyo!?
Haha wanakwambia vikwazo viziiito zaidi vinaandaliwa. . .. .....wazee walikua na akili kusema mungu si Athumani maana angekua Athumani hawa jamaa wangewawekea hadi vikwazo vya kuvuta oxygen
 
Uzi wa awali ulieleza jinsi Urusi alivyopoteza, Vitani ila huu utaangalia Uchumi na uwekezaji
MAUZO
Mauzo nje yameshuka kwa asilimia 30 tokea amewekwa vikwazo

Hungary imesitisha uingizaji wa mafuta Ya Urusi kwa asilimia 20%

Ufaransa imepunguza utegemezi wa mafuta ya Urusi Kwa asilimia 30%

Estonia na Lativia wamesitisha Kabisa


Ujerumani imepunguza uingizaji Na utegemezi wa mafuta Ya Urusi kwa asilimia 25 mpaka jioni hii

Mbolea ilikuwa inauzwa Ulaya na Asia imezorota Baada Ya Pakistan na Thaikand kusitisha ununuzi wa mbolea Kutoka Urusi katikati Ya Mwezi wa 3 na kutegemea mbolea zao za ndani,

AJIRA
Baada ya Makampuni 1200 makubwa na Madogo kufunga kufanya Biashara Urusi Warusi wamekosa ajira na wananchi wa Rostov on don Leo walitishia kuitisha maandamano yasiyo na kikomo kwa Mwezi huu,
Ajira zaidi ya 3M zimepotea haraka , Pia na mashirika washirika wa makampuni yanayofanya kazi na ya Urusi yamesitisha Ajira kwa Warusi zaid ya 2,4M duniani kote

Matangazo zaidi ya 10M yaliyokuwa yanatangazwa kupitia Instagram na Facebook yamesitisha na kusababisha hasara Kwa asilimia 38% Kwa wa fanya biashara wa Urusi .

KANDARASI ZAIDI YA 64 ZA URUSI ZIMESITISHWA DUNIANI

Urusi ana Kandarasi katika nchi Mbalimbali duniani Hasa Asia na Ulaya mashariki zimesitishwa kutokana na Vita ya Ukraine

Mradi wa Bomba la Nodrik wa Ujerumani umesitishwa,

Mradi wa Sputnik na Skype umesitishwa

Mradi wa kushirikiana na NPP estonia kuzalisha Nishati umesitishwa

Mradi wa Treni wa Finland na MOSCOW Umeaitishwa

Mradi wa Trading kati ya Frankfurt Market na St. Petersburg haupo tena


KUHUSU BEI AU THAMANI YA RUBLE HAIKO STABLE.
Kuna kelele zinaendelea kwamba Ruble imegain value ni kweli Book value imepanda for speculating calculations

Ila MARKET VALUE NI TOFAUTI

BOOK VALEU NI 1$ kwa 87RB
Ila MARKET VALUE NI 1$ KWA 117RB

Kwanza wengine wameacha hata kuzuiuza

Nimeingia benki ya Krungsri ya **** ambayo ni Corporate branch ya oversees ya Bangkok 1$ inabadilishwa kiuhalisia Kwa 120RB

Privat Bank wanabadilisha 1$ Kwa 116RB

Mono Bank wanabadilisha 1$ Kwa 117RB

HSBC wanabalisha 1$ Kwa 110RB

Lakin Kwa Mavitabu Au Book Value ya Mtandao utanambiwa ni 87 per USD

UJIRA NA MISHAHARA
Mishahara ya wafanyakazi wa serikali ndani ya Urusi imepunguzwa Kwa asilimia 18

Mshahara wa afisa ngazi ya chini alikuwa analipwa
1000$ Kwa mwezi sawa na 110,000Rubles ila sasa wanalipwa 71,000 Yaan 720$

Ma shirika binafsi wameshushwa toka 85,000RB mpaka 58,000RB

Mashirika binafsi kadhaa yameshusha ila mengi yamepunguza wafanyakazi

Sources Sputnik, Banks Krungsri, Privat Bank, Mono Bank, Private and Government employees through their notifications



Naendelea Naendelea

Britanicca
Ngoja waje waRussia wa mlandizi na goba njia 4 waje[emoji16]
 
Wewe nae sasa huoni hapo ni typing error akaskip kuweka 0 it was meant to be $720.Unavyokosoa utadhani wewe huwa hukosei kuandika.Btw povu ruksa maana mmeshavurugwa vibaya sana Warussi wa Kolelo [emoji3]
hapo hakuna cha typing error ukiokoteza propaganda uwe unazi hakiki kwanza
hapo bado hesabu haziendi japo kaediti kuongeza 0 ili ionekane typing error
lakini bado hesabu zimebuma
720$ ni punguzo la 28% na ukija kwa ruble kwa namba alizoweka ni punguzo la 34%
sasa hilo punguzo la 18% likowapi
au shule ndio nawe ulikuwa dizaini ya hawa
image-ssq2DJJnHsWKVs9F.jpg
 
hapo hakuna cha typing error ukiokoteza propaganda uwe unazi hakiki kwanza
hapo bado hesabu haziendi japo kaediti kuongeza 0 ili ionekane typing error
lakini bado hesabu zimebuma
720$ ni punguzo la 28% na ukija kwa ruble kwa namba alizoweka ni punguzo la 34%
sasa hilo punguzo la 18% likowapi
au shule ndio nawe ulikuwa dizaini ya hawaView attachment 2179040
Pale unapotokwa povu kujidai unajua sana kumbe hata kuandika tu kwenyewe ni shida.Haya edit basi walau hii comment yako ilete maana maana hivi ilivyo hata haieleweki
 
Pale unapotokwa povu kujidai unajua sana kumbe hata kuandika tu kwenyewe ni shida.Haya edit basi walau hii comment yako ilete maana maana hivi ilivyo hata haieleweki
mkuu me huwa napenda HOJA kwa HOJA
Huwa mabishano yasiyokuwa na HOJA hayanivutii kuchangia achilia mbali kuyafatilia
kama utakuwa na HOJA bora zaidi iweke tu changie
 
mkuu me huwa napenda HOJA kwa HOJA
Huwa mabishano yasiyokuwa na HOJA hayanivutii kuchangia achilia mbali kuyafatilia
kama utakuwa na HOJA bora zaidi iweke tu changie
Ungejua sina hoja ungepita kimya kimya tangu mwanzo.Wasalimie Kremlin
 
Utakuja na nyuzi hata 30, haziwezi kua na maana sababu umekaa kishabiki shabiki. Mwanzo ulisema urusi ameishiwa bidhaa kwenye supermarket, tumekuuliza kuna raia amekufa kwa njaa?
Tuambie leo dollar ya marekani dhidi ya ruble ya urusi, miezi mitatu nyuma ilikuaje. Tuambie bei ya mafuta US na Europe na miez miwili nyuma hali ilikuaje.
Sasa nchi ipo kwenye millitart operation na ina vikwazo zaidi ya nchi 30, ulitegemea hali kua sane? Mnaenda shule gani?

Wadanganye hao hao.
 
mkuu me huwa napenda HOJA kwa HOJA
Huwa mabishano yasiyokuwa na HOJA hayanivutii kuchangia achilia mbali kuyafatilia
kama utakuwa na HOJA bora zaidi iweke tu changie
Hana hoja huyo, ni umbea na ushabiki. Anachotaka kusikia ni urusi kushindwa. Achana na mapoyoyo haya
 
Hizo nyingine ni blah blah najikita hii paragraph ya mwisho,hata kabla ya Vita Russia hayupo katika mataifa yenye uchumi wenye nguvu Duniani,hajawahi na hatokuja kuwa katika top 15,sembuse leo na vikwazo lukuki alivyowekewa,huko alikokuwa ananing'inia ataporomoka zaidi nq zaidi.
Sawa kama Russia hana Influence kwanini yupo G7? Kwanini ana Veto power?

Ni Nchi 5 tu duniani zenye Veto power Usa, Russia, Uingereza, Ufaransa na China.

Mkuu Russia kwa sasa ukipima kwa GDP ni wa 11 kwa haraka haraka akili za Kitaa utasema Russia ana Uchumi mdogo, ila huu ni ukweli mdogo tu.

Njoo kwenye madeni sasa

Chukulia mfano Taifa la Italy GDP yao ni 2.1 Trilion wakati Urusi ni 1.6 Trilion, hapo Utasema Italy wapo Vizuri ila Italy Deni lao la Taifa ni Trilioni 2.5 wakati Urusi ni Bilioni 400 tu (fedha zote kwa dola za kimarekani) na si Italy Tu Mataifa yote ya Kimagharibi yana Madeni makubwa sana, Uingereza Trilioni 9, Marekani Trilioni 30 etc.
 
Wewe nae sasa huoni hapo ni typing error akaskip kuweka 0 it was meant to be $720.Unavyokosoa utadhani wewe huwa hukosei kuandika.Btw povu ruksa maana mmeshavurugwa vibaya sana Warussi wa Kolelo [emoji3]
Acha kubweka wewe

100%-18% =82%

Rudi shule wahed!!!
 
Back
Top Bottom