Na Una source yoyote Uchumi wa Russia unaporomoka kwa Kasi?
Huyo Russia anashindwa nini kuweka taarifa sahihi Dunia ili izijueP
Piga garagaza Hadi muda huu mrusi ni mshindi katika yote,SII vita iliyochochewa na Nato na Wala SII vikwazo alivyowekewa mrusi,Dunia imeathiriwa na yote haya,na miongoni wa vita ambayo taarifa zake haziwekwi wazi Kwa manufaa ya wenye maslahi ni hii,uongo mwingi kutoka Kwa wenye maslahi na vita hii,na taarifa chache na zilizo sahihi zaidi ya zile za kupikwa na wenye maslahi.
Hajawahi wakati mtu alikuamo mpaka kwa G-7 mukamtoa kimichongoHizo nyingine ni blah blah najikita hii paragraph ya mwisho,hata kabla ya Vita Russia hayupo katika mataifa yenye uchumi wenye nguvu Duniani,hajawahi na hatokuja kuwa katika top 15,sembuse leo na vikwazo lukuki alivyowekewa,huko alikokuwa ananing'inia ataporomoka zaidi nq zaidi.
Wewe nae sasa huoni hapo ni typing error akaskip kuweka 0 it was meant to be $720.Unavyokosoa utadhani wewe huwa hukosei kuandika.Btw povu ruksa maana mmeshavurugwa vibaya sana Warussi wa Kolelo [emoji3]Tatizo propaganda za kuokoteza shida huwa hazipangiliki
haiwezekani punguzo la mshahara la 18%
ndo iwe kutoka 1000$ mpk 72$
yaan hesabu zimekataa
km kungekuwa na punguzo la 18% inamaana kutoka 1000$ basi ingekuwa 820$ ila siyo hiyo 72$
Russia hajawahi kuwa katika top 15 na hatokuja kuwa period.Mkuu kule kwa uzi mwingine ulikuwa unabisha unyama wa Warussi waliowafanyia Wananchi wa Bucha,baada ta kuona live picha jinsi wanavyowaua watu una lipi la kusema,au kama kawaida yenu umefunika kombe [emoji3].Putin is the War Criminal na iko siku atasimama kizimbani,labda ajiwahishe mwenyewe kwa Muumba.Hajawahi wakati mtu alikuamo mpaka kwa G-7 mukamtoa kimichongo
Kama mnavyotaka kumtoa kimichongo huko G-20
Blah blahUmemvua nguo vibaya sana.
Kwani Ukraine 🇺🇦 wamepata faida gani vitani?Uzi wa awali ulieleza jinsi Urusi alivyopoteza, Vitani ila huu utaangalia Uchumi na uwekezaji
MAUZO
Mauzo nje yameshuka kwa asilimia 30 tokea amewekwa vikwazo
Hungary imesitisha uingizaji wa mafuta Ya Urusi kwa asilimia 20%
Ufaransa imepunguza utegemezi wa mafuta ya Urusi Kwa asilimia 30%
Estonia na Lativia wamesitisha Kabisa
Ujerumani imepunguza uingizaji Na utegemezi wa mafuta Ya Urusi kwa asilimia 25 mpaka jioni hii
Mbolea ilikuwa inauzwa Ulaya na Asia imezorota Baada Ya Pakistan na Thaikand kusitisha ununuzi wa mbolea Kutoka Urusi katikati Ya Mwezi wa 3 na kutegemea mbolea zao za ndani,
AJIRA
Baada ya Makampuni 1200 makubwa na Madogo kufunga kufanya Biashara Urusi Warusi wamekosa ajira na wananchi wa Rostov on don Leo walitishia kuitisha maandamano yasiyo na kikomo kwa Mwezi huu,
Ajira zaidi ya 3M zimepotea haraka , Pia na mashirika washirika wa makampuni yanayofanya kazi na ya Urusi yamesitisha Ajira kwa Warusi zaid ya 2,4M duniani kote
Matangazo zaidi ya 10M yaliyokuwa yanatangazwa kupitia Instagram na Facebook yamesitisha na kusababisha hasara Kwa asilimia 38% Kwa wa fanya biashara wa Urusi .
KANDARASI ZAIDI YA 64 ZA URUSI ZIMESITISHWA DUNIANI
Urusi ana Kandarasi katika nchi Mbalimbali duniani Hasa Asia na Ulaya mashariki zimesitishwa kutokana na Vita ya Ukraine
Mradi wa Bomba la Nodrik wa Ujerumani umesitishwa,
Mradi wa Sputnik na Skype umesitishwa
Mradi wa kushirikiana na NPP estonia kuzalisha Nishati umesitishwa
Mradi wa Treni wa Finland na MOSCOW Umeaitishwa
Mradi wa Trading kati ya Frankfurt Market na St. Petersburg haupo tena
KUHUSU BEI AU THAMANI YA RUBLE HAIKO STABLE.
Kuna kelele zinaendelea kwamba Ruble imegain value ni kweli Book value imepanda for speculating calculations
Ila MARKET VALUE NI TOFAUTI
BOOK VALEU NI 1$ kwa 87RB
Ila MARKET VALUE NI 1$ KWA 117RB
Kwanza wengine wameacha hata kuzuiuza
Nimeingia benki ya Krungsri ya **** ambayo ni Corporate branch ya oversees ya Bangkok 1$ inabadilishwa kiuhalisia Kwa 120RB
Privat Bank wanabadilisha 1$ Kwa 116RB
Mono Bank wanabadilisha 1$ Kwa 117RB
HSBC wanabalisha 1$ Kwa 110RB
Lakin Kwa Mavitabu Au Book Value ya Mtandao utanambiwa ni 87 per USD
UJIRA NA MISHAHARA
Mishahara ya wafanyakazi wa serikali ndani ya Urusi imepunguzwa Kwa asilimia 18
Mshahara wa afisa ngazi ya chini alikuwa analipwa
1000$ Kwa mwezi sawa na 110,000Rubles ila sasa wanalipwa 71,000 Yaan 720$
Ma shirika binafsi wameshushwa toka 85,000RB mpaka 58,000RB
Mashirika binafsi kadhaa yameshusha ila mengi yamepunguza wafanyakazi
Sources Sputnik, Banks Krungsri, Privat Bank, Mono Bank, Private and Government employees through their notifications
Naendelea Naendelea
Britanicca
Uzi wa awali ulieleza jinsi Urusi alivyopoteza, Vitani ila huu utaangalia Uchumi na uwekezaji
MAUZO
Mauzo nje yameshuka kwa asilimia 30 tokea amewekwa vikwazo
Hungary imesitisha uingizaji wa mafuta Ya Urusi kwa asilimia 20%
Ufaransa imepunguza utegemezi wa mafuta ya Urusi Kwa asilimia 30%
Estonia na Lativia wamesitisha Kabisa
Ujerumani imepunguza uingizaji Na utegemezi wa mafuta Ya Urusi kwa asilimia 25 mpaka jioni hii
Mbolea ilikuwa inauzwa Ulaya na Asia imezorota Baada Ya Pakistan na Thaikand kusitisha ununuzi wa mbolea Kutoka Urusi katikati Ya Mwezi wa 3 na kutegemea mbolea zao za ndani,
AJIRA
Baada ya Makampuni 1200 makubwa na Madogo kufunga kufanya Biashara Urusi Warusi wamekosa ajira na wananchi wa Rostov on don Leo walitishia kuitisha maandamano yasiyo na kikomo kwa Mwezi huu,
Ajira zaidi ya 3M zimepotea haraka , Pia na mashirika washirika wa makampuni yanayofanya kazi na ya Urusi yamesitisha Ajira kwa Warusi zaid ya 2,4M duniani kote
Matangazo zaidi ya 10M yaliyokuwa yanatangazwa kupitia Instagram na Facebook yamesitisha na kusababisha hasara Kwa asilimia 38% Kwa wa fanya biashara wa Urusi .
KANDARASI ZAIDI YA 64 ZA URUSI ZIMESITISHWA DUNIANI
Urusi ana Kandarasi katika nchi Mbalimbali duniani Hasa Asia na Ulaya mashariki zimesitishwa kutokana na Vita ya Ukraine
Mradi wa Bomba la Nodrik wa Ujerumani umesitishwa,
Mradi wa Sputnik na Skype umesitishwa
Mradi wa kushirikiana na NPP estonia kuzalisha Nishati umesitishwa
Mradi wa Treni wa Finland na MOSCOW Umeaitishwa
Mradi wa Trading kati ya Frankfurt Market na St. Petersburg haupo tena
KUHUSU BEI AU THAMANI YA RUBLE HAIKO STABLE.
Kuna kelele zinaendelea kwamba Ruble imegain value ni kweli Book value imepanda for speculating calculations
Ila MARKET VALUE NI TOFAUTI
BOOK VALEU NI 1$ kwa 87RB
Ila MARKET VALUE NI 1$ KWA 117RB
Kwanza wengine wameacha hata kuzuiuza
Nimeingia benki ya Krungsri ya **** ambayo ni Corporate branch ya oversees ya Bangkok 1$ inabadilishwa kiuhalisia Kwa 120RB
Privat Bank wanabadilisha 1$ Kwa 116RB
Mono Bank wanabadilisha 1$ Kwa 117RB
HSBC wanabalisha 1$ Kwa 110RB
Lakin Kwa Mavitabu Au Book Value ya Mtandao utanambiwa ni 87 per USD
UJIRA NA MISHAHARA
Mishahara ya wafanyakazi wa serikali ndani ya Urusi imepunguzwa Kwa asilimia 18
Mshahara wa afisa ngazi ya chini alikuwa analipwa
1000$ Kwa mwezi sawa na 110,000Rubles ila sasa wanalipwa 71,000 Yaan 720$
Ma shirika binafsi wameshushwa toka 85,000RB mpaka 58,000RB
Mashirika binafsi kadhaa yameshusha ila mengi yamepunguza wafanyakazi
Sources Sputnik, Banks Krungsri, Privat Bank, Mono Bank, Private and Government employees through their notifications
Naendelea Naendelea
Britanicca
Haha wanakwambia vikwazo viziiito zaidi vinaandaliwa. . .. .....wazee walikua na akili kusema mungu si Athumani maana angekua Athumani hawa jamaa wangewawekea hadi vikwazo vya kuvuta oxygenWatu wazima wanakaa na kujadili eti kuwawekea vikwazo watoto was Putin... pathetic....ndo hasara hiyo!?
Ngoja waje waRussia wa mlandizi na goba njia 4 waje[emoji16]Uzi wa awali ulieleza jinsi Urusi alivyopoteza, Vitani ila huu utaangalia Uchumi na uwekezaji
MAUZO
Mauzo nje yameshuka kwa asilimia 30 tokea amewekwa vikwazo
Hungary imesitisha uingizaji wa mafuta Ya Urusi kwa asilimia 20%
Ufaransa imepunguza utegemezi wa mafuta ya Urusi Kwa asilimia 30%
Estonia na Lativia wamesitisha Kabisa
Ujerumani imepunguza uingizaji Na utegemezi wa mafuta Ya Urusi kwa asilimia 25 mpaka jioni hii
Mbolea ilikuwa inauzwa Ulaya na Asia imezorota Baada Ya Pakistan na Thaikand kusitisha ununuzi wa mbolea Kutoka Urusi katikati Ya Mwezi wa 3 na kutegemea mbolea zao za ndani,
AJIRA
Baada ya Makampuni 1200 makubwa na Madogo kufunga kufanya Biashara Urusi Warusi wamekosa ajira na wananchi wa Rostov on don Leo walitishia kuitisha maandamano yasiyo na kikomo kwa Mwezi huu,
Ajira zaidi ya 3M zimepotea haraka , Pia na mashirika washirika wa makampuni yanayofanya kazi na ya Urusi yamesitisha Ajira kwa Warusi zaid ya 2,4M duniani kote
Matangazo zaidi ya 10M yaliyokuwa yanatangazwa kupitia Instagram na Facebook yamesitisha na kusababisha hasara Kwa asilimia 38% Kwa wa fanya biashara wa Urusi .
KANDARASI ZAIDI YA 64 ZA URUSI ZIMESITISHWA DUNIANI
Urusi ana Kandarasi katika nchi Mbalimbali duniani Hasa Asia na Ulaya mashariki zimesitishwa kutokana na Vita ya Ukraine
Mradi wa Bomba la Nodrik wa Ujerumani umesitishwa,
Mradi wa Sputnik na Skype umesitishwa
Mradi wa kushirikiana na NPP estonia kuzalisha Nishati umesitishwa
Mradi wa Treni wa Finland na MOSCOW Umeaitishwa
Mradi wa Trading kati ya Frankfurt Market na St. Petersburg haupo tena
KUHUSU BEI AU THAMANI YA RUBLE HAIKO STABLE.
Kuna kelele zinaendelea kwamba Ruble imegain value ni kweli Book value imepanda for speculating calculations
Ila MARKET VALUE NI TOFAUTI
BOOK VALEU NI 1$ kwa 87RB
Ila MARKET VALUE NI 1$ KWA 117RB
Kwanza wengine wameacha hata kuzuiuza
Nimeingia benki ya Krungsri ya **** ambayo ni Corporate branch ya oversees ya Bangkok 1$ inabadilishwa kiuhalisia Kwa 120RB
Privat Bank wanabadilisha 1$ Kwa 116RB
Mono Bank wanabadilisha 1$ Kwa 117RB
HSBC wanabalisha 1$ Kwa 110RB
Lakin Kwa Mavitabu Au Book Value ya Mtandao utanambiwa ni 87 per USD
UJIRA NA MISHAHARA
Mishahara ya wafanyakazi wa serikali ndani ya Urusi imepunguzwa Kwa asilimia 18
Mshahara wa afisa ngazi ya chini alikuwa analipwa
1000$ Kwa mwezi sawa na 110,000Rubles ila sasa wanalipwa 71,000 Yaan 720$
Ma shirika binafsi wameshushwa toka 85,000RB mpaka 58,000RB
Mashirika binafsi kadhaa yameshusha ila mengi yamepunguza wafanyakazi
Sources Sputnik, Banks Krungsri, Privat Bank, Mono Bank, Private and Government employees through their notifications
Naendelea Naendelea
Britanicca
hapo hakuna cha typing error ukiokoteza propaganda uwe unazi hakiki kwanzaWewe nae sasa huoni hapo ni typing error akaskip kuweka 0 it was meant to be $720.Unavyokosoa utadhani wewe huwa hukosei kuandika.Btw povu ruksa maana mmeshavurugwa vibaya sana Warussi wa Kolelo [emoji3]
Pale unapotokwa povu kujidai unajua sana kumbe hata kuandika tu kwenyewe ni shida.Haya edit basi walau hii comment yako ilete maana maana hivi ilivyo hata haielewekihapo hakuna cha typing error ukiokoteza propaganda uwe unazi hakiki kwanza
hapo bado hesabu haziendi japo kaediti kuongeza 0 ili ionekane typing error
lakini bado hesabu zimebuma
720$ ni punguzo la 28% na ukija kwa ruble kwa namba alizoweka ni punguzo la 34%
sasa hilo punguzo la 18% likowapi
au shule ndio nawe ulikuwa dizaini ya hawaView attachment 2179040
mkuu me huwa napenda HOJA kwa HOJAPale unapotokwa povu kujidai unajua sana kumbe hata kuandika tu kwenyewe ni shida.Haya edit basi walau hii comment yako ilete maana maana hivi ilivyo hata haieleweki
Ungejua sina hoja ungepita kimya kimya tangu mwanzo.Wasalimie Kremlinmkuu me huwa napenda HOJA kwa HOJA
Huwa mabishano yasiyokuwa na HOJA hayanivutii kuchangia achilia mbali kuyafatilia
kama utakuwa na HOJA bora zaidi iweke tu changie
Hana hoja huyo, ni umbea na ushabiki. Anachotaka kusikia ni urusi kushindwa. Achana na mapoyoyo hayamkuu me huwa napenda HOJA kwa HOJA
Huwa mabishano yasiyokuwa na HOJA hayanivutii kuchangia achilia mbali kuyafatilia
kama utakuwa na HOJA bora zaidi iweke tu changie
Sawa kama Russia hana Influence kwanini yupo G7? Kwanini ana Veto power?Hizo nyingine ni blah blah najikita hii paragraph ya mwisho,hata kabla ya Vita Russia hayupo katika mataifa yenye uchumi wenye nguvu Duniani,hajawahi na hatokuja kuwa katika top 15,sembuse leo na vikwazo lukuki alivyowekewa,huko alikokuwa ananing'inia ataporomoka zaidi nq zaidi.
Acha kubweka weweWewe nae sasa huoni hapo ni typing error akaskip kuweka 0 it was meant to be $720.Unavyokosoa utadhani wewe huwa hukosei kuandika.Btw povu ruksa maana mmeshavurugwa vibaya sana Warussi wa Kolelo [emoji3]