Chapati Tatu
JF-Expert Member
- Apr 23, 2024
- 338
- 740
Ndio chai hii 😁litutumbwe alijitoa mwili copy, mwili mmoja unalala mwili mwingine unabaki ndani.
Nishai sana huyo jamaa😄😄litutumbwe alijitoa mwili copy, mwili mmoja unalala mwili mwingine unabaki ndani.
Tupiamo HATA Moja mtoa mada nitililike.
wadau wanazo, watakuja mda c mrefTupiamo HATA Moja mtoa mada nitililike.
Hususani kwa wana MMU.chai za jf 😂😂nyingi huwa mbichi
Ndo huyu kijana wa hovyo akatudanganya watu wazima ati anaingia kwenye mwili wa mkewe 🤣🤣🤣litutumbwe alijitoa mwili copy, mwili mmoja unalala mwili mwingine unaingia mtaani.....
Hata tangawiz wanasahauchai za jf 😂😂nyingi huwa mbichi
Hii chai Ilikuwa balaa😀Ndo huyu kijana wa hovyo akatudanganya watu wazima ati anaingia kwenye mwili wa mkewe 🤣🤣🤣