Stephen Ngalya Chelu
JF-Expert Member
- Oct 31, 2017
- 8,252
- 18,335
Kuna jamaa aliniambia kuwa kuna mwizi mmoja alienda kuiba bahati mbaya akakamatwa na wamama wa kizaramo. Basi wale wamama wakamchamba (kumsuta) mpaka yule mwizi akafa...
Huyo jamaa tuneheshimiana sana ila hapa nafiki aliivunja heshima yangu kwake niliyoiweka kwa muda mrefu...
Huyo jamaa tuneheshimiana sana ila hapa nafiki aliivunja heshima yangu kwake niliyoiweka kwa muda mrefu...