cacutee
JF-Expert Member
- Apr 9, 2024
- 1,333
- 3,512
Haha kumbe ile chai na wewe unaisomaa maana umejua Hadi akina iryn.
Hya ngoja tukasubiri chai nyingine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haha kumbe ile chai na wewe unaisomaa maana umejua Hadi akina iryn.
Litutumbwe 😂litutumbwe alijitoa mwili copy, mwili mmoja unalala mwili mwingine unaingia mtaani.....
Wewe ebu kua na adabu alaaah mbona una maneno machafu hivo 😂😂😂😂😂Eti bichwa komwe ana wowowo kama la masogange....
Wangejua hata kujamba nashindwa hadi niweke sponji ili kuepuka msuguano wa ushuzi na fuvu.
Cc: Lamomy cocastic Mzee wa kupambania dronedrake Mbaga Jr Poor Brain The Icebreaker Extrovert njumu za kosovo
Hii sio chai ni ukweli kabisaChai ya Jf ni Avatar za dada zetu kila mmoja kaweka avatar ya mrembo kumbe chai
Ila angalau ina ilikiHata hii ni chai...
chawa mtiifu kalamba kitengo hahahahMwashambwa kupewa kitengo pale CCM.
Ina kaukweli na uongo ndani yake, Musa alikuwa hajatahiriwa. Ndo mana alikuwa anajificha kwa zanani hiyo ilikuwa skendo kwaKuna hadithi ya waislamu kwenye kitabu cha Sahih Al-Bukhari ati Mtume Musa alihofiwa kuwa na kibamia kwa kuwa alikuwa akijitenga wakati wa kuoga.
Wanaume wenzie walioga pamoja, wakiwa uchi isipokuwa yeye.
Siku moja, akiwa ameweka nguo zake juu ya jiwe ili aoge, jiwe likaanza kukimbia na nguo zake.
😄
Basi akaanza kulikimbiza lile jiwe, ndipo watu wakaona kumbe Musa ana mkonga Mandingo kabisa bwana.
🤣
Dini ina masimulizi mengi yasiyi make sense, ila hii ni kali yao!
Huwa natabasamu tu nikifikiria kuna watu wanaamini huu upuuzi ni ukweli kabisa.
Ina kaukweli ndani yake, Musa alikuwa hajatahiriwa na wakati huo wana wa israel lazima watahiriwa hivyo alikuwa akijifcha labda sababu ya hiyoKuna hadithi ya waislamu kwenye kitabu cha Sahih Al-Bukhari ati Mtume Musa alihofiwa kuwa na kibamia kwa kuwa alikuwa akijitenga wakati wa kuoga.
Wanaume wenzie walioga pamoja, wakiwa uchi isipokuwa yeye.
Siku moja, akiwa ameweka nguo zake juu ya jiwe ili aoge, jiwe likaanza kukimbia na nguo zake.
😄
Basi akaanza kulikimbiza lile jiwe, ndipo watu wakaona kumbe Musa ana mkonga Mandingo kabisa bwana.
🤣
Dini ina masimulizi mengi yasiyi make sense, ila hii ni kali yao!
Huwa natabasamu tu nikifikiria kuna watu wanaamini huu upuuzi ni ukweli kabisa.
Anakuja na gari Mercedes-Benz auKuna jamaa alikua anajifanya mtu wa freemason anatoa mipango ya kuzimu... akatuambia kila wiki siku ya j3 shetani huwa anakuja duniani kutembea tembea akiwa na gari yake mercedes benz nyeusi 😅 🤣🤣🤣 hivyo tuwe makini
Kwamba ni warembo kama avatar zao?Hii sio chai ni ukweli kabisa
Tunazidi na avatar zetuKwamba ni warembo kama avatar zao?