Thread Ya Chai: Tupe Story Uliyowahi Kuisikia - hapa JF au pengne - ukajisemea Mmmh hii ni fix, ila iko kitaalam sana

Thread Ya Chai: Tupe Story Uliyowahi Kuisikia - hapa JF au pengne - ukajisemea Mmmh hii ni fix, ila iko kitaalam sana

K
Vijiweni, maofisini au popote tunapokutana na watu tofauti tofauti kila siku kwa nyakati tofauti huwa kuna wakati tunakutana na watu - hata washkaji zetu wenyewe - wanatupa story kuhusu mambo mengi waliyowahi kupitia, kuona au kusikia.
Kuna ile siku mshkaji wako wa kila siku kabisaaa anakupigia story unajaribu kuisikiliza, kuielewa, kuichanganua na kuichenjua mpaka unafika mahali unajisemea mmmmhh HII CHAI KABISA HII.
.
Tuwekee hapa chini tuenjoy nayo wikiend hii. Kuna

Kuna gazeti lilichapisha mwamba Moja huyo anaitwa kiodombi, mshirikina balaa mwamba alikuwa ana deal na products za dukani tu yeye hana haja ya kuroga mtu, ni kubeba Michele,.unga, mafuta. Yaanini kusafisha maduka tu usiku.
 
Vijiweni, maofisini au popote tunapokutana na watu tofauti tofauti kila siku kwa nyakati tofauti huwa kuna wakati tunakutana na watu - hata washkaji zetu wenyewe - wanatupa story kuhusu mambo mengi waliyowahi kupitia, kuona au kusikia.
Kuna ile siku mshkaji wako wa kila siku kabisaaa anakupigia story unajaribu kuisikiliza, kuielewa, kuichanganua na kuichenjua mpaka unafika mahali unajisemea mmmmhh HII CHAI KABISA HII.
.
Tuwekee hapa chini tuenjoy nayo wikiend hii.
Jiwe alimzaba makofi Madelu enzi ya awamu ya 5
 
Kuna hadithi ya waislamu kwenye kitabu cha Sahih Al-Bukhari ati Mtume Musa alihofiwa kuwa na kibamia kwa kuwa alikuwa akijitenga wakati wa kuoga.
Wanaume wenzie walioga pamoja, wakiwa uchi isipokuwa yeye.

Siku moja, akiwa ameweka nguo zake juu ya jiwe ili aoge, jiwe likaanza kukimbia na nguo zake.
😄
Basi akaanza kulikimbiza lile jiwe, ndipo watu wakaona kumbe Musa ana mkonga Mandingo kabisa bwana.
🤣
Dini ina masimulizi mengi yasiyi make sense, ila hii ni kali yao!

Huwa natabasamu tu nikifikiria kuna watu wanaamini huu upuuzi ni ukweli kabisa.
 
Kuna hadithi ya waislamu kwenye kitabu cha Sahih Al-Bukhari ati Mtume Musa alihofiwa kuwa na kibamia kwa kuwa alikuwa akijitenga wakati wa kuoga.
Wanaume wenzie walioga pamoja, wakiwa uchi isipokuwa yeye.

Siku moja, akiwa ameweka nguo zake juu ya jiwe ili aoge, jiwe likaanza kukimbia na nguo zake.
😄
Basi akaanza kulikimbiza like jiwe, ndipo watu wakaona kumbe Musa ana mkonga Mandingo kabisa bwana.
🤣
Dini ina masimulizi mengi yasiyi make sense, ila hii ni kali yao!

Huwa natabasamu tu nikifikiria kuna watu wanaamini huu upuuzi ni ukweli kabisa.
Dah kwamba Jiwe liliona limpambanie mwamba😂, haiwezekani mchaguliwa adharaulike kwa maneno ya waja wakati ngoma isambe😂
 
Kuna mdada akasema boat ilikua imeshaondoka, akafika pale walivyomuona ameachwa ikabidi igeuze hadi yeye apande.

Nikasema huyu ananichukuliaje ufahamu wangu lakini? Ile ilizidi majani ya chai. Ikabidi ninyamaze tu.
 
Back
Top Bottom