Lucha
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 14,516
- 50,658
Unazidi avatar yako ✔️Tunazidi na avatar zetu
Tunazidi avatar zetu ✖️
Usiwatetee na waongo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unazidi avatar yako ✔️Tunazidi na avatar zetu
Tusikimbiane tukionana tuUnazidi avatar yako ✔️
Tunazidi avatar zetu ✖️
Usiwatetee na waongo
Mwamba alikuwa na g*vi?Ina kaukweli na uongo ndani yake, Musa alikuwa hajatahiriwa. Ndo mana alikuwa anajificha kwa zanani hiyo ilikuwa skendo kwa
Ina kaukweli ndani yake, Musa alikuwa hajatahiriwa na wakati huo wana wa israel lazima watahiriwa hivyo alikuwa akijifcha labda sababu ya hiyo
agano la Mungu na Ibrahimu, ambalo liliagiza kwamba kila mwana wa kiume wa Waisraeli lazima atahiriwe kama ishara ya agano hilo (Mwanzo 17:10-14).
Hii ilikuwa mbaya kwa sababu kutahiriwa kilikuwa agizo la Mungu kwa Waisraeli, na ilikuwa ishara ya uhusiano wao wa kiroho na Mungu. Kutokutii amri hii kulikuwa sawa na kukataa agano la Mungu, na hivyo kuleta adhabu ya Mungu. Musa, ambaye alikuwa amepewa jukumu la kuwaongoza Waisraeli, alitarajiwa kuwa mfano wa utii wa maagizo ya Mungu.
watu wa MMU wamezidi kutunywesha chai sasaChai nyingi huwa inazidi sukari jukwaa la MMU yaani kuna watu wanakopi stry facebook wanakuja kutuwekea humu na watu wanachangia.......
leta vitumbua utakuwa umetubariki sanaMimi Nita wapatia vitafunwu msijali
Muandiko wako tu inaonyesha ni mrembo😋Tusikimbiane tukionana tu
Story ya lindi ile ni chai ya mchaichai!!
Ndonga eeh hao uliowatagi nao Wana wowowo ?.Eti bichwa komwe ana wowowo kama la masogange....
Wangejua hata kujamba nashindwa hadi niweke sponji ili kuepuka msuguano wa ushuzi na fuvu.
Cc: Lamomy cocastic Mzee wa kupambania dronedrake Mbaga Jr Poor Brain The Icebreaker Extrovert njumu za kosovo
Hello hello in kingwendu voiceMuandiko wako tu inaonyesha ni mrembo😋
nani karuhusu uvuvi humu lakn?Hello hello in kingwendu voice
Chapati tatunani karuhusu uvuvi humu lakn?
leta leseni yako ya uvuvi nliyokukabidhiChapati tatu
Anakuja na gari Mercedes-Benz au
sioo 😂😂😂
tayari tushapigwa hapo
Hii chai hiiii....Kuna moja aliwahi itoa Katibu mkuu mstaafu wa Chadema nilicheka sana.
Alisema.kuna bomba la gesi linapita chini ya bahari tokea mtwara.mpaka huko ulaya.
Hii chai bado naitafakari sana, kwahyo mke wake akichepuka wakati yeye yuko kwenye mwili wake inakuwaje??Ndo huyu kijana wa hovyo akatudanganya watu wazima ati anaingia kwenye mwili wa mkewe 🤣🤣🤣