habari zenu wapendwa,hope maandalizi ya weekend hii ndefu yanaenda vizuri.....
Kwa kawaida kama binadamu huwa tunatokea kuvutiwa na michango ya members wenzetu kwa namna moja au nyingine, ni jambo jema na binafsi kuna baadhi ya watu wananivutia kwa michango ya mawazo wanayotoa humu jf,lakini mara nyingi kuvutiwa na mawazo ya mtu huambatana na avatar anayotumia mtu Hahahaa jamaniii nisirushiwe mawe kwa nnachotaka kukisema but atleast am honest here.....kusema kweli kuna wakati tunavutiwa na avatar,lolest
shida inakuja siku unakutana na member avatar yake aliweka mkaka mmoja HB na eight packs zake lahaula tobaaa kitambi hicho ka chungu teh teh sio vizuri hivyo mnatushtua jamani au dada aliweka mdada mmoja mrembo rangi ya jogoo ukikutana nae ni cheusi mangala eeh na mtu alijiandaa kumuona chawhite....wewe unajijua ni mzee ila umeweka picha ya kijana,unatuchanganyaaa yani full mixer...
binafsi hio avatar kidogo inasadiki nilivyo,cheusi mangala,hebu tuelezane kwanini ulichagua avatar hio unayoitumia?labda kuna mengi wengine tusiyoyajua,mwageni experience zenu...
Haahhaaaa ngoja WA kusikie kitambi kama chungu., haaahhaaaa..( simo), Jf raha, hhaahaa... Me naona ni kitambi cha money, money ( kwa wale vibosile ) ila kuna raha yake ya kuwa na kitambi but ndio hivyo hawaonyeshi kwa avatar zao.
haaaahaaa.. Thanks..