Hahahaha! HEART umeonae? Anawashwa mpaka raha ila habari ndiyo hiyo tuko kwenye operation safisha chit chat kama vipi wahamie uso kitabu lol!
Labda huwa hajui kuwa ni utoto anaposti ndo maana tukaomba mifano kwa niaba yao ili siku nyingine wakitaka kupost wanaikumbuka then wanaacha
Nonesense!Ok, ahsante kwa jibu lako zuri mama. Swali la nyongeza, sasa tutaumalizaje huu utoto kama wewe 'mtu mzima' nawe una muda wa kuujibu huu utoto?
Like ! Like ! Like !
Nonesense!
wanatupotezea muda kuzisoma tatizo.
Nonesense!
ukiona kitu hukijui ujue hakikuhusu..... source ;naniliu.
He he hehe! Habari ndio hiyo ndugu yangu... Lazima kusafisha chit chat.... Pamechafuka mpaka panakera! Weka uzi wa kitoto niupoteze ndio utajua kama mimi ni Paw au nimenunua hisa kwa Max Melo ! Najua inauma ila hakuna jinsi kwa hili itabidi tuvumiliane !Vipi, kwani siku hizi umekua msaidizi wa Po nini? Au ndo ushachukua hisa za Max? Acha mambo zako sweetlady, waache watu free kujadili wakitakacho, sio unachotaka wewe! Huezi nihamisha JF wewe, ameshindwa Le Mutuz itakua wewe?
Ha! Ha ha ha ha ha!!
Na bado!
wapeni mifano basi iliwajue
He he hehe! Habari ndio hiyo ndugu yangu... Lazima kusafisha chit chat.... Pamechafuka mpaka panakera! Weka uzi wa kitoto niupoteze ndio utajua kama mimi ni Paw au nimenunua hisa kwa @Max Melo ! Najua inauma ila hakuna jinsi kwa hili itabidi tuvumiliane !
katoka kuniambia eti unapenda sana mayuro hivi ni kweli?Catherine
Am lost here Catherine; Clarify please
aaaahhh!!! bila mifano hawaelewi eeehhh?
like like like!!!!!
Hahahaha! Kwani kuna binadamu asiyependa mayuro?Alafu katoka kuniambia eti unapenda sana mayuro hivi ni kweli?