Chilli
JF-Expert Member
- Jul 17, 2011
- 1,655
- 744
Hahahaha! HEART umeonae? Anawashwa mpaka raha ila habari ndiyo hiyo tuko kwenye operation safisha chit chat kama vipi wahamie uso kitabu lol!
Vipi, kwani siku hizi umekua msaidizi wa Po nini? Au ndo ushachukua hisa za Max? Acha mambo zako sweetlady, waache watu free kujadili wakitakacho, sio unachotaka wewe! Huezi nihamisha JF wewe, ameshindwa Le Mutuz itakua wewe?
Ha! Ha ha ha ha ha!!
Last edited by a moderator: