THREAD zenye MAMBO YA KITOTO ziachwe

THREAD zenye MAMBO YA KITOTO ziachwe

natamani nielewe kinazungumzwa nini hapa lakini nang'aaa hsarubu tu hapa!yani na mods nao washaiweka sticky!sasa tukaponee wapo jamani!wengin CC ndo mpango mzima!sasa mkileta na mambo ya kuedit tena wakati mi nilitaka kuanzinsha thread yenye title @##$$$%%&&***(())))))))((*****(((
na post yake ikawa ^!&!*()!U!#&*&*!()_!_)!)@)!@_!@_! na wadau ningepata mradi tufurahi siku isogee!mwe! Arushaone na sweetlady wala sielewi maslahi yenu katika hili!MMETUMWAAAA?
:A S 114:MTUWAAAAACHE!
:A S 114:
 
Last edited by a moderator:
chardams kuna haja gani basi ya kupost childish threads? Let us change it.

Afu Arushaone mbona hapo kama mnataka kumsema MzunguMndali na ile Post yake ya Ndoto?
Jamani Jamani Jamani,
Si mnakumbuka ya cacico? alipata BAN bila kutegemea kisa tu alipishana kiswahili na yeye?
Na wewe unaihitaji?
Ngoja nikuitie............
We MzunguMndali unaitwa hukuuuuuuuu...........!!!!!!!!!!!!!!!!
:fencing::fencing::fencing::fencing::fencing:

 
Last edited by a moderator:
Afu Arushaone mbona hapo kama mnataka kumsema MzunguMndali na ile Post yake ya Ndoto?
Jamani Jamani Jamani,
Si mnakumbuka ya cacico? alipata BAN bila kutegemea kisa tu alipishana kiswahili na yeye?
Na wewe unaihitaji?
Ngoja nikuitie............
We MzunguMndali unaitwa hukuuuuuuuu...........!!!!!!!!!!!!!!!!
:fencing::fencing::fencing::fencing::fencing:


Kisa cha kutuumiza macho!!??
 
Last edited by a moderator:
natamani nielewe kinazungumzwa nini hapa lakini nang'aaa hsarubu tu hapa!yani na mods nao washaiweka sticky!sasa tukaponee wapo jamani!wengin CC ndo mpango mzima!sasa mkileta na mambo ya kuedit tena wakati mi nilitaka kuanzinsha thread yenye title @##$$$%%&&***(())))))))((*****(((
na post yake ikawa ^!&!*()!U!#&*&*!()_!_)!)@)!@_!@_! na wadau ningepata mradi tufurahi siku isogee!mwe! Arushaone na sweetlady wala sielewi maslahi yenu katika hili!MMETUMWAAAA?
:A S 114:MTUWAAAAACHE!
:A S 114:
Arushaone na sweetlady mmeshindwa kutetea hoja zenu.
Inabidi muyaanike majina ya hao member.
Au mkiona soo tajeni na hizo Post zenyewe za kitoto. snowhite, hao wameshindwa kutetea hoja zao.
 
Last edited by a moderator:
Ukishaona CHITCHAT ni utoto..ujue umepoteza mantiki ya jukwaa... Arushaone nothing is serious in chitchat...we kama unataka hoja za nguvu na nguvu za hoja nenda kule GREAT THINKERS au SIASANI....hapa ni stress free zone....
 
Last edited by a moderator:
Arushaone ni mmojawapo wa kuanzisha ziredi za kitoto,
kama uongo aweke ziredi zake hapa tuzichambue.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom