Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,361
- 21,680
Habari wakuu
Naandika huu uzi kama ombi kuhusu nyuzi zinazopigwa pin huko juu hasa hizi za timu.
Kwanini timu ndogo zinazocheza Europa zinapata airtime huko juu? Timu kama Arsenal, Yanga, Spurs hakuna haja ya kuzipiga pini huko juu. Huko juu ni kwa ajili ya UEFA, CAF na mashindano mengine makubwa.
Timu zinazocheza Europa tuwe tunazishusha chini huko juu ni kwa ajili ya timu zinazocheza Champions League.
Nitashukuru endapo ombi langu litafanyiwa kazi
Naandika huu uzi kama ombi kuhusu nyuzi zinazopigwa pin huko juu hasa hizi za timu.
Kwanini timu ndogo zinazocheza Europa zinapata airtime huko juu? Timu kama Arsenal, Yanga, Spurs hakuna haja ya kuzipiga pini huko juu. Huko juu ni kwa ajili ya UEFA, CAF na mashindano mengine makubwa.
Timu zinazocheza Europa tuwe tunazishusha chini huko juu ni kwa ajili ya timu zinazocheza Champions League.
Nitashukuru endapo ombi langu litafanyiwa kazi