love life live life
JF-Expert Member
- Sep 12, 2021
- 2,584
- 3,051
- Thread starter
-
- #181
Nyie ndio mnaoamini pope is always right.... kwamba wewe una taarifa za nchi hii kumzidi Amiri Jeshi Mkuu wa vyombo vyote vya ulinzi na usalama ambaye every morning lazima apate briefing ya yaliyotokea nchini including wewe umeamkia au hujaamkia nyumbani asubuhi hiyo? Hao waliochomwa ni kuku wa kwanza kukatiza kwenye huo mpaka? Roho za kishetani tu zilipelekea ushenzi ule sio zaidi!
Hoja yako ni nin?Ndo maana nikasema huna hoja.
mara useme tumshitaki mara useme kweli unafahamu huwezi kumshitaki rais kwa aliyoyafanya/anayoyafanya akiwa marakani..!!! Wewe mwenyewe huoni kuwa unajidhalilisha kwa namna unavyojibu..!?
... sisi kuamini pope is always right kosa; ila ninyi kuamini marehemu was always right ni sawa! What a double standard!Nyie ndio mnaoamini pope is always right.
Zidumu fikra za mwenyekiti.
Hata mama Samia alivyosema Alikuwa mchoma Vifaranga bado hamkuelewa?Einstein kwenye kitabu chake akiwajibu hundred authors against Einstein anasema "If I was wrong one could be enough" akiwa na maana kama ningekuwa siko sahihi basi mtu mmoja tu angetosha kuni-prove wrong.
Alisema hakutegemea mamia ya watu ili kumprove wrong bali fact moja tu inatosha kumprove wrong na kuonesha makosa yake.
Licha ya threads zaidi ya 1000 kuanzishwa jukwaani hapa lakini bado zimefeli ku-prove ubaya wa Magufuli na kuonyesha
udhalimu na ukatili Magufuli aliofanya kwa uthibitisho.
Kama asemavyo T. Shakur "truth is too plain to see" rivals wake kuanzia upinzani, CCM, bungeni, wanaharakati, mitandao ya kijamii,
hata mataifa ya magharibi bado wamefeli kuprove ubaya wa Magufuli.
Inahitajika thread moja tu yenye facts kuprove ubaya wa Magufuli na sio thread 1000 kama sasa.
Kama kweli Magufuli ni mkosaji basi nilitegemea mtu mmoja tu angetosha kuonyesha ubaya wa Magufuli kwa fact
na sio hearsay.
NB: Tumhukumu Magufuli kwa facts na sio porojo.
Asiyeona uovu, ukatili, uuaji na ujambazi wa Magufuli atakuwa na matatizo ya akili
Mkuu hueleweki..., kwahio hizo thread 1000 zikitoka zinakuwa hazina moja, yaani ingekuwepo moja ni sawa ila kuanzia mbili mpaka 1000 zinapunguza makali ya hio moja ? Unaongelea facts kwani hizo zote hazina facts...
Ngoja nikupe facts
Makufuli alikuwa Mtendaji mzuri sana tena sana ila hakuwa kiongozi mzuri..., kazi yake nzuri aliifanya akiwa Waziri, au angepaswa kuwa Waziri Mkuu, Kiongozi anahitaji kusikiliza, anahitaji diplomasia na akubali kukosolewa bila hivyo watu wataogopa kumshauri (The Emperor has no cloths)
Pili Makufuli mara nyingi hakufuata sheria na taratibu mihimili yote mitatu ni kama aliivunja na kuwa yeye Jeshi la mtu mmoja...
Tatu Propaganda zilikuwa nyingi ni vigumu kujua wapi alikuwa anasema ukweli na wapi uongo (hio yote italetwa na transparency)
Nne Nepotism na kuonyesha sifa kwamba ninafanya kitu huku au kule sababu nitazikwa huko ni kuleta precedent mbaya sana ambayo itatucost hapo baadae (mfano anashauri watu wachagua viongozi wa kwao au ukichagua huyu au yule sileti maendeleo) alisahahu yeye ni Kiongozi wa Nchi na sio Chama wala Kabila
Mwisho Kabisa nchi hii haiitaji mtu Imara bali Taasisi Imara..., sababu hata akija malaika tutakuwa tunaongea hayahaya, inabidi tuongozwe na kanuni na sio matakwa au utashi wa mtu....
Itoshe tu kusema ,NABII HAKUBALIKI KWAO,Ila cha moto tunakiona japo hatutaki kukiri,JPM hotuba zake zitawapa taabu sana wanafiki waliozoea kudanganya wananchi,maana watu wanazo wanajua mbivu na mbichi
Ibilisi joka kuu hata atetewe namna gani ukweli unabaki paleple alikuwa dhalimu na mwovu mkuu.
Kwahiyo kumbe unajua kwamba Magufuli alikuwa mbinafsi, yeye ananeemeka wenzake wanafilisika na hajali, kasababisha sekta binafsi kufa, nikisema ndiyo chanzo Cha kuongezeka kwa machinga, then anajifanya anawahurumia kwaajili ya mtaji wa kisisasa ,utasemaje?Kampuni yako wewe usingeipa tender mfano ukiwa raisi au mlitaka akae kifala kama Nyerere ili mje kumcheka ana familia ameshindwa kui support tu?
Hilo la kampuni linaeleweka nyumbani kwanza afterall kazi walifanya sio kama kampuni imekul hela za serikali bure.
Hata shetani ni maarufu mana misa zote kanisani haziishi bila kutajwa. Ishu ni je huko kutajwa anatajwa kwa yapi?sisi hatuna shida na hili,ila shida yetu ni nyinyi kuishia kuimba tu udhalimu wake[emoji3][emoji3].
hii inafanya jamaa azidi kuwa maarufu.
Jambazi hawezi kuona ubaya wa ujambazi wa jambazi mwenzie.Einstein kwenye kitabu chake akiwajibu hundred authors against Einstein anasema "If I was wrong one could be enough" akiwa na maana kama ningekuwa siko sahihi basi mtu mmoja tu angetosha kuni-prove wrong.
Alisema hakutegemea mamia ya watu ili kumprove wrong bali fact moja tu inatosha kumprove wrong na kuonesha makosa yake.
Licha ya threads zaidi ya 1000 kuanzishwa jukwaani hapa lakini bado zimefeli ku-prove ubaya wa Magufuli na kuonyesha
udhalimu na ukatili Magufuli aliofanya kwa uthibitisho.
Kama asemavyo T. Shakur "truth is too plain to see" rivals wake kuanzia upinzani, CCM, bungeni, wanaharakati, mitandao ya kijamii,
hata mataifa ya magharibi bado wamefeli kuprove ubaya wa Magufuli.
Inahitajika thread moja tu yenye facts kuprove ubaya wa Magufuli na sio thread 1000 kama sasa.
Kama kweli Magufuli ni mkosaji basi nilitegemea mtu mmoja tu angetosha kuonyesha ubaya wa Magufuli kwa fact
na sio hearsay.
NB: Tumhukumu Magufuli kwa facts na sio porojo.
Jiwe alikuwa Ni malaika aliyetawala Tz ndicho nilichogundua humu.wanahqngaika weeeee kumchafua jpm lakn imeahindikana
Very simplistic. Marekani kuna maamuzi ya Rais (executive) ambayo ni kwa muda mfupi wa dharura na ya Legislative (bunge-congress/senate) ambayo ni ya kudumu. Rais akitaka kufanya mabadiliko ya uhakika lazima serikali yake iwasilishe na kutetea mapendekezo yake mbele ya wawakilishi wa wananchi.Kuna nchi yenye taasisi imara duniani? Unaweza itaja? Maana hata wanaojitapa kule America,tuliona maamuzi aliyofanya Trump,huyu naye kaja kubadilisha tena.
Your signature is really sexist. Na huyo amiri jeshi mkuu alitengua uteuzi wa Professor akaweka Uvccm, wakamfumbua macho akatengua uvccm akarudisha Professor. Hamna lolote pale.... kwamba wewe una taarifa za nchi hii kumzidi Amiri Jeshi Mkuu wa vyombo vyote vya ulinzi na usalama ambaye every morning lazima apate briefing ya yaliyotokea nchini including wewe umeamkia au hujaamkia nyumbani asubuhi hiyo? Hao waliochomwa ni kuku wa kwanza kukatiza kwenye huo mpaka? Roho za kishetani tu zilipelekea ushenzi ule sio zaidi!
Halafu hawakuchukuliwa hatua baada ya publicity mbaya kiasi kile kwa taifa letu?This arrogance came from people who abused their positions. I am 100% sure, JPM didnt send these guys to do that dirt work. Kuna watu, hasa wa kodi, waliona fahari kufilisi wafanyabiashara