Threads 1,000 hazitoshi ku-prove ubaya wa Magufuli bali fact moja tu

Threads 1,000 hazitoshi ku-prove ubaya wa Magufuli bali fact moja tu

Huyo Lissu ni nani ktk nchi hii?
Mtu aliyetuonesha usaliti wa wazi wazi kuanzia kwenye mchakato wa katiba mpya, hadi uchaguzi 2015. Pia kwenye sheria mpya yamadini leo tukio lake lakutengeneza ndio unamsingizia Magufuli?
To hell with Lissu!
So far we know for sure Magufuli ndio Yuko huko Hell / Kuzimu
 
Mimi si mwanachama wa chama chochote cha siasa. Vyama vya Bongo vya sasa karibia vyote ni magumashi tu. Na sijaitaja CHADEMA kwenye comment yangu. Ipo siku kitatokea chama chenye nguvu, hizo kejeli zenu zitakwisha.
Si rahisi kupata chama chenye nguvu chini ya utawala wa ccm, hawataruhusu hilo.
 
Bado mnaweweseka tu. Ombeni Mungu CCM iendelee kutawala milele. Vinginevyo siku chama kingine kikishika usukani, kuna watu watahama nchi bila kupenda kwa kuhofia maovu waliyotenda kufichuliwa na wao kushughulikiwa kisheria.
Chadema ndo wenye mitizamo hiyo kipumbavu na kijinga kuwaza visasi na Si vinginevyo
 
Alipohoji si ilifikia wakati akaulizwa hela imeliwa ama haijaliwa mbona alisema hapana?
Nenda kwenye ripoti na siyo kwenye majibizano ya Ikulu, huo siyo utatatibu.
Kwanza kama Prof Assad angesema zimeliwa, Magufuli angemtanguliza kuzimu kama Ben Saanane
 
Nenda kwenye ripoti na siyo kwenye majibizano ya Ikulu, huo siyo utatatibu.
Kwanza kama Prof Assad angesema zimeliwa, Magufuli angemtanguliza kuzimu kama Ben Saanane
Kwanini amtangulize ikulu wakati anatekeleza kazi yake
 
Akili zimekaa wapi?.

Kila nchi ina sheria zake, hebu kesho vuka mpaka wowote ukiwa umebeba bata bila makaratasi alafu njoo hapa utupe mrejesho.

Alafu jambo la pili wale wanaitwa vifaranga ndiyo ila siyo viumbe wa Mungu hasilani, Mungu hakuumba kuku anayekuwa kwa miezi mitatu NO!, Happ lazima tutofautishe man made and God created.
... akili za nani? Huyo niliyem-quote ama?
 
Hao kuku waliochomwa ni wa maabara. Mama yenu hana taarifa, viumbe wa Mungu wasingechomwa.
... kwamba wewe una taarifa za nchi hii kumzidi Amiri Jeshi Mkuu wa vyombo vyote vya ulinzi na usalama ambaye every morning lazima apate briefing ya yaliyotokea nchini including wewe umeamkia au hujaamkia nyumbani asubuhi hiyo? Hao waliochomwa ni kuku wa kwanza kukatiza kwenye huo mpaka? Roho za kishetani tu zilipelekea ushenzi ule sio zaidi!
 
Back
Top Bottom