Three East African states in US crosshairs over mitumba ban


umenena vyema. China, Ulaya na marekani wana sera kuielekea au kushirikiana na Afrika. lkn swali ni je Afrika ina sera au mikakati ya makusudi ya pamoja kuelekea washirika hawa?? kama hamna inabidi kitu kifanyike. hatuwezi tukawa watu wa kupokea maagizo ya nini cha kufanya siku zote. lazima tuwe na dira na muelekeo, yeyote anayekuja kwetu lazima ajue sisi sera na muelekeo wetu ni nini!! siyo kuja kutuagiza.
 
Tunakubali kabisa unayosema, hatuwezi kukubali kuendelea kuburuzwa na hawa jamaa miaka nenda miaka rudi, najuwa watatushia kuminya misaada na na mengineo, ila tukumbuke, kwenye maswala kibiashara, hawa jamaa BADO wanatuminya sana na bidhaa zetu, hawako tayari kuwakosesha biashara zao wakulima na wenye wiwanda vyao, tena wanatumia njia nyingi sana kwa hili, hawako tayari kukosa biashara kwa kuleta hiyo mitumba ya kila aina, wakijuwa kwanza wanapata pesa pili wamepata dampo la kutupa wasivyovihitaji, sisi tuko tayari kuendelea na biashara nawo ila iwe na faida kwa pande zote 2, najuwa raia wanalalamika kuhusu quality na price za bidhaa zitakazozalishwa nchini, hapo ndipo Dola zetu ziangalie, lakini kuendelea kuruhusu hayo matakataka yao tutazidi kuumia tu..
 
Akili za ni zako tuuuu...... si za mwingine

unasema kuvaa mitumba ndio itarudisha hadhi ya wanawake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…