Elections 2015 THROW BACK: Bernard Membe alikuwa ni chaguo sahihi

Elections 2015 THROW BACK: Bernard Membe alikuwa ni chaguo sahihi

Nina muda sasa sijaona uzi wa kumpa sifa dikteta uchwara,na ukija uzi huo utakuwa wa lizaboni na utapondwa kila kona na kila mchangiaji,WAPI KAKOSEA MSUKUMA?
KWANI KUTUMIA NGUVU IKULU BADALA YA AKILI NI DHAMBI? SAMIA SULUHU NJIANI KUJIUZULU WHY?
 
Nachelea kusema Bernard Membe ndiye alikuwa chaguo sahihi kuletewa watanzania, Kikwete aliona mbali, watanzania tulizoea na bado tumezoea kujifunza gradually, slow but sure..pole pole ndio mwendo wetu haya ya sasa ni mateso tuu bila chuki, unatekenywa upande huu, kabla hata ya kucheka ushafinywa upande mwingine.

kwanini ninasema Bernard Membe ndiye alikuwa chaguo sahihi?

1. Bernard Membe alishafanya kazi kama mchambuzi usalama wa taifa (kachero) katika ofisi ya raisi (ikulu) kwa kipindi kirefu hivyo ninaweza kusema anaujua usalama wetu katika nyanja zote kuliko hawa wengine.

2. Ni msomi mzuri wa mahusiano ya kimataifa, ukiachana na usomi wake ni mtendaji mzuri katika eneo hili, ujuzi na umahiri unambeba, siyo tuu kimataifa ila hata masuala yetu ya ndani ya nchi. Alishawahi kuwa wizara ya mambo ya ndani, na wizara ya mambo ya nje. kila kitu kilikuwa sawa kabisa na misimamo yake katika masuala ya nchi huwa ni mikali hana mchezo...

3. Ni mtu ambaye anaipenda na kuheshimu demokrasia, mwaka 2008 alijishindia medal iyotokana na operation democracy in comoro. (Hili watanzania tulijisifia na kulipa sifa zote jeshi letu, chini ya waziri wa kipindi hicho Bernard Membe)

4. Ni mtu anaependelea diplomasia

5. Ni zao la mfumo, mfumo ambao ulikuwa unatupeleka taratibu lakini kwa uhakika, siyo wa kukurupuka

hizi ni sababu zangu unaweza kuongezea zako na hata kukosoa, Sipo CCM na ni pro-cdm

Ni kweli na aliandaliwa hivyo. Lakini siasa zandani za makundi ndio ximetugharimu watanzania.
 
Kusema ukweli ngosha kawashika pabaya mafisadi,bado hata mwaka haujaisha,huu mwendo ukiendelea kwa miaka mitano tutapiga hatua kubwa sana.
 
Mkuu hapo umepiga kote kote,maana hata ukawa mgombea wao alikuwa zao la ccm,hapo ndipo ninapoona siasa za kibongo ovyo tu
Mkuu bogo hakuna wanasiasa wenye lengo la kuondoa umasikini bali wapo kulaghai wadaganyika ili wanufaishe matumbo yao.
 
Well said.

Ila its not too late.

2020 is just near bay.

Come on Member the president
Nachelea kusema Bernard Membe ndiye alikuwa chaguo sahihi kuletewa watanzania, Kikwete aliona mbali, watanzania tulizoea na bado tumezoea kujifunza gradually, slow but sure..pole pole ndio mwendo wetu haya ya sasa ni mateso tuu bila chuki, unatekenywa upande huu, kabla hata ya kucheka ushafinywa upande mwingine.

kwanini ninasema Bernard Membe ndiye alikuwa chaguo sahihi?

1. Bernard Membe alishafanya kazi kama mchambuzi usalama wa taifa (kachero) katika ofisi ya raisi (ikulu) kwa kipindi kirefu hivyo ninaweza kusema anaujua usalama wetu katika nyanja zote kuliko hawa wengine.

2. Ni msomi mzuri wa mahusiano ya kimataifa, ukiachana na usomi wake ni mtendaji mzuri katika eneo hili, ujuzi na umahiri unambeba, siyo tuu kimataifa ila hata masuala yetu ya ndani ya nchi. Alishawahi kuwa wizara ya mambo ya ndani, na wizara ya mambo ya nje. kila kitu kilikuwa sawa kabisa na misimamo yake katika masuala ya nchi huwa ni mikali hana mchezo...

3. Ni mtu ambaye anaipenda na kuheshimu demokrasia, mwaka 2008 alijishindia medal iyotokana na operation democracy in comoro. (Hili watanzania tulijisifia na kulipa sifa zote jeshi letu, chini ya waziri wa kipindi hicho Bernard Membe)

4. Ni mtu anaependelea diplomasia

5. Ni zao la mfumo, mfumo ambao ulikuwa unatupeleka taratibu lakini kwa uhakika, siyo wa kukurupuka

hizi ni sababu zangu unaweza kuongezea zako na hata kukosoa, Sipo CCM na ni pro-cdm
 
Nachelea kusema Bernard Membe ndiye alikuwa chaguo sahihi kuletewa watanzania, Kikwete aliona mbali, watanzania tulizoea na bado tumezoea kujifunza gradually, slow but sure..pole pole ndio mwendo wetu haya ya sasa ni mateso tuu bila chuki, unatekenywa upande huu, kabla hata ya kucheka ushafinywa upande mwingine.

kwanini ninasema Bernard Membe ndiye alikuwa chaguo sahihi?

1. Bernard Membe alishafanya kazi kama mchambuzi usalama wa taifa (kachero) katika ofisi ya raisi (ikulu) kwa kipindi kirefu hivyo ninaweza kusema anaujua usalama wetu katika nyanja zote kuliko hawa wengine.

2. Ni msomi mzuri wa mahusiano ya kimataifa, ukiachana na usomi wake ni mtendaji mzuri katika eneo hili, ujuzi na umahiri unambeba, siyo tuu kimataifa ila hata masuala yetu ya ndani ya nchi. Alishawahi kuwa wizara ya mambo ya ndani, na wizara ya mambo ya nje. kila kitu kilikuwa sawa kabisa na misimamo yake katika masuala ya nchi huwa ni mikali hana mchezo...

3. Ni mtu ambaye anaipenda na kuheshimu demokrasia, mwaka 2008 alijishindia medal iyotokana na operation democracy in comoro. (Hili watanzania tulijisifia na kulipa sifa zote jeshi letu, chini ya waziri wa kipindi hicho Bernard Membe)

4. Ni mtu anaependelea diplomasia

5. Ni zao la mfumo, mfumo ambao ulikuwa unatupeleka taratibu lakini kwa uhakika, siyo wa kukurupuka

hizi ni sababu zangu unaweza kuongezea zako na hata kukosoa, Sipo CCM na ni pro-cdm
Mi nahisi lowassa.
 
Back
Top Bottom