mchovu wa fikra
JF-Expert Member
- Jul 16, 2016
- 335
- 394
Nachelea kusema Bernard Membe ndiye alikuwa chaguo sahihi kuletewa watanzania, Kikwete aliona mbali, watanzania tulizoea na bado tumezoea kujifunza gradually, slow but sure..pole pole ndio mwendo wetu haya ya sasa ni mateso tuu bila chuki, unatekenywa upande huu, kabla hata ya kucheka ushafinywa upande mwingine.
kwanini ninasema Bernard Membe ndiye alikuwa chaguo sahihi?
1. Bernard Membe alishafanya kazi kama mchambuzi usalama wa taifa (kachero) katika ofisi ya raisi (ikulu) kwa kipindi kirefu hivyo ninaweza kusema anaujua usalama wetu katika nyanja zote kuliko hawa wengine.
2. Ni msomi mzuri wa mahusiano ya kimataifa, ukiachana na usomi wake ni mtendaji mzuri katika eneo hili, ujuzi na umahiri unambeba, siyo tuu kimataifa ila hata masuala yetu ya ndani ya nchi. Alishawahi kuwa wizara ya mambo ya ndani, na wizara ya mambo ya nje. kila kitu kilikuwa sawa kabisa na misimamo yake katika masuala ya nchi huwa ni mikali hana mchezo...
3. Ni mtu ambaye anaipenda na kuheshimu demokrasia, mwaka 2008 alijishindia medal iyotokana na operation democracy in comoro. (Hili watanzania tulijisifia na kulipa sifa zote jeshi letu, chini ya waziri wa kipindi hicho Bernard Membe)
4. Ni mtu anaependelea diplomasia
5. Ni zao la mfumo, mfumo ambao ulikuwa unatupeleka taratibu lakini kwa uhakika, siyo wa kukurupuka
hizi ni sababu zangu unaweza kuongezea zako na hata kukosoa, Sipo CCM na ni pro-cdm
Kwa hiyo tufanyeje sasa! turudie uchaguzi au? kwanza we ni ccm damu unataka tu kuichafua CHADEMA.
Ngubapon'ia gwa kukaja, nungwe baponiege kuno ulikomweee ubhaponye pa Kalumbulu, mbugani, ndandalo , serengeti, mikumi
Mkuu bogo hakuna wanasiasa wenye lengo la kuondoa umasikini bali wapo kulaghai wadaganyika ili wanufaishe matumbo yao.Mkuu hapo umepiga kote kote,maana hata ukawa mgombea wao alikuwa zao la ccm,hapo ndipo ninapoona siasa za kibongo ovyo tu
Nachelea kusema Bernard Membe ndiye alikuwa chaguo sahihi kuletewa watanzania, Kikwete aliona mbali, watanzania tulizoea na bado tumezoea kujifunza gradually, slow but sure..pole pole ndio mwendo wetu haya ya sasa ni mateso tuu bila chuki, unatekenywa upande huu, kabla hata ya kucheka ushafinywa upande mwingine.
kwanini ninasema Bernard Membe ndiye alikuwa chaguo sahihi?
1. Bernard Membe alishafanya kazi kama mchambuzi usalama wa taifa (kachero) katika ofisi ya raisi (ikulu) kwa kipindi kirefu hivyo ninaweza kusema anaujua usalama wetu katika nyanja zote kuliko hawa wengine.
2. Ni msomi mzuri wa mahusiano ya kimataifa, ukiachana na usomi wake ni mtendaji mzuri katika eneo hili, ujuzi na umahiri unambeba, siyo tuu kimataifa ila hata masuala yetu ya ndani ya nchi. Alishawahi kuwa wizara ya mambo ya ndani, na wizara ya mambo ya nje. kila kitu kilikuwa sawa kabisa na misimamo yake katika masuala ya nchi huwa ni mikali hana mchezo...
3. Ni mtu ambaye anaipenda na kuheshimu demokrasia, mwaka 2008 alijishindia medal iyotokana na operation democracy in comoro. (Hili watanzania tulijisifia na kulipa sifa zote jeshi letu, chini ya waziri wa kipindi hicho Bernard Membe)
4. Ni mtu anaependelea diplomasia
5. Ni zao la mfumo, mfumo ambao ulikuwa unatupeleka taratibu lakini kwa uhakika, siyo wa kukurupuka
hizi ni sababu zangu unaweza kuongezea zako na hata kukosoa, Sipo CCM na ni pro-cdm
Mi nahisi lowassa.Nachelea kusema Bernard Membe ndiye alikuwa chaguo sahihi kuletewa watanzania, Kikwete aliona mbali, watanzania tulizoea na bado tumezoea kujifunza gradually, slow but sure..pole pole ndio mwendo wetu haya ya sasa ni mateso tuu bila chuki, unatekenywa upande huu, kabla hata ya kucheka ushafinywa upande mwingine.
kwanini ninasema Bernard Membe ndiye alikuwa chaguo sahihi?
1. Bernard Membe alishafanya kazi kama mchambuzi usalama wa taifa (kachero) katika ofisi ya raisi (ikulu) kwa kipindi kirefu hivyo ninaweza kusema anaujua usalama wetu katika nyanja zote kuliko hawa wengine.
2. Ni msomi mzuri wa mahusiano ya kimataifa, ukiachana na usomi wake ni mtendaji mzuri katika eneo hili, ujuzi na umahiri unambeba, siyo tuu kimataifa ila hata masuala yetu ya ndani ya nchi. Alishawahi kuwa wizara ya mambo ya ndani, na wizara ya mambo ya nje. kila kitu kilikuwa sawa kabisa na misimamo yake katika masuala ya nchi huwa ni mikali hana mchezo...
3. Ni mtu ambaye anaipenda na kuheshimu demokrasia, mwaka 2008 alijishindia medal iyotokana na operation democracy in comoro. (Hili watanzania tulijisifia na kulipa sifa zote jeshi letu, chini ya waziri wa kipindi hicho Bernard Membe)
4. Ni mtu anaependelea diplomasia
5. Ni zao la mfumo, mfumo ambao ulikuwa unatupeleka taratibu lakini kwa uhakika, siyo wa kukurupuka
hizi ni sababu zangu unaweza kuongezea zako na hata kukosoa, Sipo CCM na ni pro-cdm