THROWBACK: Demu wangu - Mchizi Mox ft Ngwair nani alipiga verses kali?

THROWBACK: Demu wangu - Mchizi Mox ft Ngwair nani alipiga verses kali?

Hivyo vinanda kapiga allan mapigo huo ni muziki wa zouk, basi ulivyo punguwan unajua zouk ni innovation ya master jay 😅😅
uko chaka, wimbo wa Q-Chief feat. Jay Dee, producer ni MJ na studio ni MJ
Ndiyo maana nikauliza umri wako, beat maker wako uchwara yule hagusi level hizo, akomae tu na electronic music
 
uko chaka, wimbo wa Q-Chief feat. Jay Dee, producer ni MJ na studio ni MJ
Ndiyo maana nikauliza umri wako, beat maker wako uchwara yule hagusi level hizo, akomae tu na electronic music
Naujua huo wimbo ndio nikakwambia kinanda kapiga allan mapigo, kwa hiyo master jay ndio muanzislishi wa midundo ya zouk? Hujui lolote unafata mkumbo
 
Back
Top Bottom