Mama Samia ndio tafsiri halisi ya "MWANAMKE NI USAFI", akiwa ziara anabadili hata nguo 4 kwa siku moja.
Sio hayo magube gube mlioyazoea ya Instagram & Bongo Movie, linavaa nguo moja week nzima, kutwa lipo mbio mbio chini ya jua na kutukanana, mpaka likiivua na kuisimamisha, nguo inasimama yenyewe dede bila support.
Mliosoma hesabu vichwa vyenu havipo sawa nimecheka kweli Mkuu.Mama siku hizi anavaa vizuri anapendeza mno. Magu alikuwa anamzeesha mama wa watu
Mavitenge ataonekana kama mkulima wa nyanya chungu..Mbona kama zimekaa kihindihindi, mshoneani magauni ya vitenge ajimwage nayo bana.
🤣 🤣 🤣Mama siku hizi anavaa vizuri anapendeza mno. Magu alikuwa anamzeesha mama wa watu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mama siku hizi anavaa vizuri anapendeza mno. Magu alikuwa anamzeesha mama wa watu
We unaonajeNi mzuri?
We unaonaje
Mke wa mtu huyo,kwa Muslim mke wa mtu kutembea kichwa wazi,hasa zanzibarians ni Kama matusi vileAkiachana na ule ushungi atapendeza zaidi.
Tuwe fair. Hivi kweli SSH mnamuita mama yenu kwa kumpenda au kujipendekeza? Mbona hatukusikia marais waliopita mkiwaita baba zenu? Je akiondoka kwenye ulaji mtaendelea kumuita mama yenu? Janet aliitwa mama kipenzi leo mnamuita mjane wa Jiwe. Kujipendekeza kitu mbaya sana.Acheni mchezo bana,
Mama yetu ni mtu smart sana anajua kupangilia nguo sio mchezo ,
Wanawake muige mfano wake sio wengine nguo mnavaa hadi siku kumi, wengine nguo ya sendoff ndio hiyohiyo hadi harusi hapana lazima mjifunze kwa Mama yetu.
Mama anapiga vitu vya kueleweka na wanaomshonea wanampatia acha kabisa, ile ndio haiba ya uongozi sasa.
Yaani mama akisalimia kidogo tu kama kuna kipengele cha maji ya kunywa kabla ya kunywa maji lazima abadilishe nguo.
Mama Uganda alienda kapiga kitu kingine haaa wakati wa kurudi ashabadilisha kabisa haya ndio maneno sasa. Mama kwa miaka minne atabadilisha nguo pea 2920.
Tuwe fair. Hivi kweli SSH mnamuita mama yenu kwa kumpenda au kujipendekeza? Mbona hatukusikia marais waliopita mkiwaita baba zenu? Je akiondoka kwenye ulaji mtaendelea kumuita mama yenu? Janet aliitwa mama kipenzi leo mnamuita mjane wa Jiwe. Kujipendekeza kitu mbaya sana.
Mkalinde kaburi la Marehemu vzr Kigogo kasema ATAKUNYAA juu yk
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app