mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,981
- 35,581
Habari za Jumapili wapendwa.
Kama kichwa habari kinavyojieleza, kuna dada wa rafiki yangu amepata hili tatizo la Cancer.
Alianza kuumwa mwaka jana June alikwenda hospital wakampa rufaa ya kwenda Ocean Road ambapo walithibitisha ana Cancer ya ziwa, ila mgonjwa na mume wake hawakuanza tiba yaani Chemotherapy wala hawakuishirikisha familia kuhusu hilo tatizo.
Mwezi wa 9 mwaka huu mgonjwa alizidiwa ziwa likawa linatoa damu familia yake ikaambiwa kuhusu tatizo na pia wakaambiwa mgonjwa ameshaanza kutumia mitishamba na baada ya muda ikaonekana anapata nafuu.
Leo hii mgonjwa amezidiwa tena lakini sasa tatizo halipo kwenye ziwa bali ameishiwa damu na yupo hospitali ya Wilaya. Na pia hataki kabisa kurudi Ocean Road na hataki tiba za hemotherapy
Wakuu mimi binafsi nimeshauguza wagonjwa wa Cancer, matibabu yatolewayo Ocean Road ni makali sana na madhara yake kwenye mwili ni makubwa sana. Nikiri tu kati wagonjwa niliokuwa nawafahamu na walioanza Chemotherapy hakuna aliyemaliza.
Lakini pia kuna ambae alikataa na akaamua kutumia tiba chakula naona yuko poa japo mwenyewe anatumia kila anachoambiwa (hana muongozo kamili toka kwa mtaalamu mmoja).
Wakuu naombeni msaada wenu haswa kwenye upatikanaji wa tiba mbadala Mungu akijalia tumuone dada yetu akiwa na afya njema tena.
Asanteni sana.
Cc Deceiver MziziMkavu
Kama kichwa habari kinavyojieleza, kuna dada wa rafiki yangu amepata hili tatizo la Cancer.
Alianza kuumwa mwaka jana June alikwenda hospital wakampa rufaa ya kwenda Ocean Road ambapo walithibitisha ana Cancer ya ziwa, ila mgonjwa na mume wake hawakuanza tiba yaani Chemotherapy wala hawakuishirikisha familia kuhusu hilo tatizo.
Mwezi wa 9 mwaka huu mgonjwa alizidiwa ziwa likawa linatoa damu familia yake ikaambiwa kuhusu tatizo na pia wakaambiwa mgonjwa ameshaanza kutumia mitishamba na baada ya muda ikaonekana anapata nafuu.
Leo hii mgonjwa amezidiwa tena lakini sasa tatizo halipo kwenye ziwa bali ameishiwa damu na yupo hospitali ya Wilaya. Na pia hataki kabisa kurudi Ocean Road na hataki tiba za hemotherapy
Wakuu mimi binafsi nimeshauguza wagonjwa wa Cancer, matibabu yatolewayo Ocean Road ni makali sana na madhara yake kwenye mwili ni makubwa sana. Nikiri tu kati wagonjwa niliokuwa nawafahamu na walioanza Chemotherapy hakuna aliyemaliza.
Lakini pia kuna ambae alikataa na akaamua kutumia tiba chakula naona yuko poa japo mwenyewe anatumia kila anachoambiwa (hana muongozo kamili toka kwa mtaalamu mmoja).
Wakuu naombeni msaada wenu haswa kwenye upatikanaji wa tiba mbadala Mungu akijalia tumuone dada yetu akiwa na afya njema tena.
Asanteni sana.
Cc Deceiver MziziMkavu