Tiba mbadala ya Cancer inapatikana wapi?

Tiba mbadala ya Cancer inapatikana wapi?

We jamaa huna dogo asee.. jambo dogo tu hilo mpaka unfanyie visasi kwa Allah wenu. Huwezi fumba macho yakapita tu??
Wenzangu mmeumbwaje
Ukiona hivyo anajihami na kunitisha Kama unabisha mfate PM dawa anauza milioni 5 ,halafu Hana ofisi hela anakwambia umkabidhi mtu kichochoroni ,yaani kwa mtu unayejielewa na smart hauchukui Muda kujua huyu mjanjamjanja Kama huamini mcheki PM uulizie dawa yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom