tiba mbadala

tiba mbadala

MGANGA WA KIENYEJI

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2012
Posts
521
Reaction score
170
Asili ni asili. Hapo zamani kulikua hakuna Hospitali. Lakini kina mama wengi walijifungua bila operations. Lakini leo vipimo kibao lakini operation kila kona. Mfano sisi tumezaliwa 13 na mama yetu lakini bado yupo hai. Siku hizi wakikufanyia operation Mara 3 tu wanakufunga kizazi. Kulikoni?
 
Asili ni asili. Hapo zamani kulikua hakuna Hospitali. Lakini kina mama wengi walijifungua bila operations. Lakini leo vipimo kibao lakini operation kila kona. Mfano sisi tumezaliwa 13 na mama yetu lakini bado yupo hai. Siku hizi wakikufanyia operation Mara 3 tu wanakufunga kizazi. Kulikoni?

Peleka jukwaa husika. Anyway karibu sana.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom