Afande Fojuman
JF-Expert Member
- Sep 27, 2014
- 655
- 543
Hospitali wana dawa za simu za wadudu na nyoka, wana-neutralize tu. Wahi dispensary watakusaidia.
sumu ya nge inaua?
dawa ni kumchukua na kumchoma Kama hajakimbia na lile jivu lake unapaka mahali alipo kuuma. businessJamani nimeumwa na nge, mwenye uelewa juu ya tiba yake naomba anisaidie