bereng
Senior Member
- Feb 5, 2013
- 114
- 21
Wana JF,
Kwa wale wenye matatizo ya meno, kuna dawa ya meno inayotibu kabisa na kuimalisha meno yako bila kung`oa. Ni dawa iliyotengenezwa kwa mmea wa shubiri na kuchanganywa na asali. Inasaidia hata kwa wale wenye matatizo ya kutoa harufu mbaya mdomoni isiyoisha.
Ni nzuri pia kwa vidonda vya tumbo ukilamba na kunywa maji vinapoa ndani ya nusu saa. Kwa wale watakaohitaji maelezo zaidi au kupata ushauri pamoja na dawa mni PM.
Kwa wale wakazi wa Mwanza mnaweza kufika ofisini au ninaweza kukuletea moja kwa moja.
Dawa inauzwa kwa Tsh 12,000/- Ukinipa namba ya simu ntakupigia kwa ajili ya kufanya oda au maelekezo zaidi.
Asante.
Kwa wale wenye matatizo ya meno, kuna dawa ya meno inayotibu kabisa na kuimalisha meno yako bila kung`oa. Ni dawa iliyotengenezwa kwa mmea wa shubiri na kuchanganywa na asali. Inasaidia hata kwa wale wenye matatizo ya kutoa harufu mbaya mdomoni isiyoisha.
Ni nzuri pia kwa vidonda vya tumbo ukilamba na kunywa maji vinapoa ndani ya nusu saa. Kwa wale watakaohitaji maelezo zaidi au kupata ushauri pamoja na dawa mni PM.
Kwa wale wakazi wa Mwanza mnaweza kufika ofisini au ninaweza kukuletea moja kwa moja.
Dawa inauzwa kwa Tsh 12,000/- Ukinipa namba ya simu ntakupigia kwa ajili ya kufanya oda au maelekezo zaidi.
Asante.

