villagechampion
Member
- Aug 4, 2015
- 57
- 23
Habari zenu wapendwa.
Heri ya mwaka mpya. Takribani mwaka mmoja na nusu ndani ya ndoa lkn bado mdogo wangu hajabahatika kupata mtoto. Alienda Kairuki hospital akafanya vipimo akaambiwa mirija yake imeziba na mayai pia hayapevuki.
Mwenye kujua tiba atusaidie
Sent using Jamii Forums mobile app
Heri ya mwaka mpya. Takribani mwaka mmoja na nusu ndani ya ndoa lkn bado mdogo wangu hajabahatika kupata mtoto. Alienda Kairuki hospital akafanya vipimo akaambiwa mirija yake imeziba na mayai pia hayapevuki.
Mwenye kujua tiba atusaidie
Sent using Jamii Forums mobile app