Tiba ya Mirija ya uzazi na mayai kutokupevuka

Tiba ya Mirija ya uzazi na mayai kutokupevuka

Joined
Aug 4, 2015
Posts
57
Reaction score
23
Habari zenu wapendwa.

Heri ya mwaka mpya. Takribani mwaka mmoja na nusu ndani ya ndoa lkn bado mdogo wangu hajabahatika kupata mtoto. Alienda Kairuki hospital akafanya vipimo akaambiwa mirija yake imeziba na mayai pia hayapevuki.

Mwenye kujua tiba atusaidie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mie nadhani hakuna haja ya kuwa na hofu ya kutafta dawa mbadala huku na huku, Ni vyema kutulia na kuwasikiliza wataalam wanasemaje, Kwanza isitoshe yupo under-appointment, So tulieni tu watamsaidia pale panapowezekana.

Na maombi pia ni muhimu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom