mamma herbs
Member
- Oct 21, 2024
- 25
- 20
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂Hatari sana
Ndiyo hivyoKweli vice versa is true
Hili ni tatizo la jinsia zote 😂Mambo yamekua mengi sana
Kwa hiyo ukiwapea dawa ya usingizi tu wanakuwa ngangari kunako 6x6 ?!
Mwanamke anayekabiliwa na upungufu wa nguvu za kike (kukosa Hamu ya Tendo la Ndoa anapaswa kuingeza masaa ya kulala ili arejeshe mwili katika hali yakeungefafanua basi bushdokta
KabisaWanawake nao wawe bize... wapate dawa wanatuchosha sana masela!
😂😂😂Upungufu wa nguvu za kike unasababishwa na kutoka nje ya ndoa, tiba ni kumfumania na kumuacha!
Hapahitaji dawa ya usingizi, anatakiwa apate usingizi wa kawaida ifanyike kama reaction ya mwili, alipewa dawa ya usingizi anakuwa anatengeneza reaction nyingine mwilini tofauti na ilivyokusudiwaKwa hiyo ukiwapea dawa ya usingizi tu wanakuwa ngangari kunako 6x6 ?!
Pochi nene itamsaidia mwanaume tu kupata kile anachokitaka Kwa Mwanamke lakini katika Tendo la Ndoa haitaongeza chochoteNguvu za kike si ni pochi nene?
Kuna tofauti gani kati ya uzinifu na tendo unaloita la ndoa?Pochi nene itamsaidia mwanaume tu kupata kile anachokitaka Kwa Mwanamke lakini katika Tendo la Ndoa haitaongeza chochote
Tendo la Ndoa ni kitendo Cha kujamiana kihalali, Uzinifu ni kujamiana isivyo halali 😅Kuna tofauti gani kati ya uzinifu na tendo unaloita la ndoa?
Sawa..nimekupenda bure ila usimwambie mtuTendo la Ndoa ni kitendo Cha kujamiana kihalali, Uzinifu ni kujamiana isivyo halali 😅