Tiba ya nguvu za kike

ungefafanua basi bushdokta
Mwanamke anayekabiliwa na upungufu wa nguvu za kike (kukosa Hamu ya Tendo la Ndoa anapaswa kuingeza masaa ya kulala ili arejeshe mwili katika hali yake
 
Kwa hiyo ukiwapea dawa ya usingizi tu wanakuwa ngangari kunako 6x6 ?!
Hapahitaji dawa ya usingizi, anatakiwa apate usingizi wa kawaida ifanyike kama reaction ya mwili, alipewa dawa ya usingizi anakuwa anatengeneza reaction nyingine mwilini tofauti na ilivyokusudiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…