Wakuu,
Nimekaa natafakari juu ya affordability ya matibabu ya gonjwa la corona hapa nchini na nimebaini kwamba haina urafiki na watanzania wenye vipato vya kati na chini
Hakika mwananchi wa kawaida hawezi kumudu gharama za kuwekewa mtungi wa oxgyen labda ziwe zinatolewa bure
Nasema hivi kwa sababu nimejaribu kufikiri zaidi pale ambapo kuna mzee wa miaka kama 60 alipatwa na ugonjwa huu wiki sasa na amepona now amejikarantini nyumbani kwake
Kilichomponya ni pesa alizokuwa nazo naweza kusema hivyo, kwani bill ya hospitali kwa muda wa siku 6 iliyotumika ni zaidi y 3.5
Najiuliza zaidi hivi ikatokea wewe mwenzangu na mimi pangu pakavu tia mchuzi ukakumbwa na sekeseke la covid 19 utaweza mudu gharama za huduma hii ili kunusuru maisha yako?
Ifike mahali sasa Serikali ibebe gharama zote zinazohusu wagonjwa wa Corona hapa nchini
Nimekaa natafakari juu ya affordability ya matibabu ya gonjwa la corona hapa nchini na nimebaini kwamba haina urafiki na watanzania wenye vipato vya kati na chini
Hakika mwananchi wa kawaida hawezi kumudu gharama za kuwekewa mtungi wa oxgyen labda ziwe zinatolewa bure
Nasema hivi kwa sababu nimejaribu kufikiri zaidi pale ambapo kuna mzee wa miaka kama 60 alipatwa na ugonjwa huu wiki sasa na amepona now amejikarantini nyumbani kwake
Kilichomponya ni pesa alizokuwa nazo naweza kusema hivyo, kwani bill ya hospitali kwa muda wa siku 6 iliyotumika ni zaidi y 3.5
Najiuliza zaidi hivi ikatokea wewe mwenzangu na mimi pangu pakavu tia mchuzi ukakumbwa na sekeseke la covid 19 utaweza mudu gharama za huduma hii ili kunusuru maisha yako?
Ifike mahali sasa Serikali ibebe gharama zote zinazohusu wagonjwa wa Corona hapa nchini